Inwezekana huyu mleta mada kwanza nahisi anakaa nyumbani kwao au amepangisha tena uswahilini,ndiyo maana anaona degree kitu cha maana,nataka nimwambie watu wote wliyofanikiwa duniani,kama vile billgate,henry ford,thomas edison,yule jamaa wa facebook hawana degree,wengine hapa tanzania ni kina bakheresa,kwahiyo wewe baki na hiyo degree yako utakufa maskini na familia yako,unafikiria mtaani ni sawa na shule,huku moja jumlisha moja sio lazima iwe mbili majibu yako mengi,shuleni jibu ndiyo moja,ukikosa basi na wewe umefeli,ila mtaani majibu ni mengi sana ndiyo maana unakuta watu ambayo hawana elimu za juu wanafanikiwa sana kwasababu wanajiamini