SOLD: Dell Laptop for Sale

SOLD: Dell Laptop for Sale

Status
Not open for further replies.
Mkuu pemben hapo kna 6500,
kna 350k kwenye mfuko wa shart hapa
 
Generation ya ngapi?. Ila mambo haya ni yaajabu kabisa. Window pekee genuine inauza tsh390000/= ukiweka na office genuine unakuwa imekugarimu 6 laki ma ushee. Lakini hapa MTU anauza kilakitu kipo tena anasema activated kwa 500k.
 
😀 😀 😀 😎😎😎
Kumbe ulikua unajifanya libishi jukwaani, lakin nyuma ya pazia unafuata ushauri wangu.

Hizi ndio computer za kuuza sasa, achana kabisa na ma-HDD dunia inaenda mbele.

Ngoja nikiusaidie kuwaelewesha wateja:
Ndugu wateja, msishangae udogo wa Storage Capacity kumbukeni hii ni SSD na sio HDD tulizozoea.
SSD ndio technology ya sasa, haina moving-parts, iko fast na very reliable.
Chukueni huu mzigo.
Ukiwa unatumia ssd kuna uwezekano wa kuongeza storage? Kama ilivyo hdd unatoa ya 500GB unaweka y 1TB
Ilo linawezekana?
 
Generation ya ngapi?. Ila mambo haya ni yaajabu kabisa. Window pekee genuine inauza tsh390000/= ukiweka na office genuine unakuwa imekugarimu 6 laki ma ushee. Lakini hapa MTU anauza kilakitu kipo tena anasema activated kwa 500k.
Unataka nikwambiaje?
 
Ukiwa unatumia ssd kuna uwezekano wa kuongeza storage? Kama ilivyo hdd unatoa ya 500GB unaweka y 1TB
Ilo linawezekana?
Kama ina slot ya hdd ndio inawezekana....ila epuka pc za kufungua fungua
 
Generation ya ngapi ?

Screen size ( Display size )

Imetumika kwa muda gani ?
 
Picha ya mbele ya display ?
Olympus
Imetumika for months

Nadhan ntakua nmejibu maswal yako yote
IMG-20190529-WA0008.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom