Computer4Sale Dell laptop inauzwa, HDD: 1TB & RAM 16GB

Computer4Sale Dell laptop inauzwa, HDD: 1TB & RAM 16GB

Mkuu acha kukalili ,kwahiyo kila anayeuza kitu lazima kiwe na tatizo, moja ya sababu ni shida binafsi, may be kubadili kifaa awe na kingine kizuri zaidi kwa mahitaji yake nk
Kwamba lazima kiwe na Tatizo, ukimaanisha mapungufu? SIO KWELI
Hapa nitakupinga.

Mtu yeyete yule/ mfanyabiashara/hata ww kama uliwah kuuza, lengo lilikuwa kupata Pesa basi.

Umewah kwenda dukan ukamuuliza muuzaji kwanini unauza hii suruali?
 
Nakuongeza pesa Leo nitakua Mwenge pale Dance Club. Kama poa njoo tuyajenge, hiki pia ni screen touch, battery inakaa 5hrs, Haina shida yoyote Ile sema speed na storage ndio sijazipend.
Hapana Masta, Hii sifanyi Exchange!
 
Kubwa sana Kivipi? Screen Display ni 15.6" au unamaanisha dimensions zipi masta?

Screens, good laptop, but napenda screen ndogo, kama unazo hizo similar price please share
 
Heavy Duty Dell Machine
(engineerng design,grphics design & games)


-storage.
ROM/HDD: 1TB
RAM: 16GB DDR4

Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card.

System: x64 bit-based processor

Screen: 15.6" screen touch

Keyboard: black

Window 10 pro

Battery: 4hrs

Condition: CLEAN.(haina tatizo lolote)

bei: 650KView attachment 2411207View attachment 2411208
PC Bado ipo chief?
Naitaka tuwasiliane!
Urgently
 
Heavy Duty Dell Machine
(engineerng design,grphics design & games)


-storage.
ROM/HDD: 1TB
RAM: 16GB DDR4

Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card.

System: x64 bit-based processor

Screen: 15.6" screen touch

Keyboard: black

Window 10 pro

Battery: 4hrs

Condition: CLEAN.(haina tatizo lolote)

bei: 650KView attachment 2411207View attachment 2411208
mbona kuna makaratasi chini ya keyboard?
 
mbona kuna makaratasi chini ya keyboard?
IMG_20221123_073346.jpg

Makaratasi gani boss unayoongelea?...
Umeangalipa picha gani?
 
PC Bado ipo chief?
Naitaka tuwasiliane!
Urgently
Dell LATITUDE. njoo uchukue kwa 750,000 nipo mapipa KCMC MOSHI.....CONTACT. 0672701329 , SPECIFICATIONS zinaonekana kwenye picha
 
Back
Top Bottom