#COVID19 Delta variant has wrecked hopes of herd immunity, warn scientist

#COVID19 Delta variant has wrecked hopes of herd immunity, warn scientist

Ugonjwa wenyewe codes mpya kila siku mara Delta, Beta and Alpha strains. Yaani sasa huyo Delta Variant( sijui niite devil variant) shida sana. Mara Lambada, Gamma variants, ......you name it.

New variants could be named after constellations like Gemini, Aries, and Orion(says WHO). Ifikie wakati tuanze kuangalia haya majina yana siri gani ndani yake.
Unaongea na watz? They can't use their brains most of them to investigate anything wao huwa nikupiga domo tu na kushabikia mambo ambayo wangeweza kusoma na kuelewa.
 
kimeonekana Peru huko ndugu ...... Kazi ipo ..kuna kingine kimeonekana west Africa huko chakuitwa Marbug (Ebola type)
Sasa hii Marburg inaweza kuja kupiga mpaka tukashangaa. Sijuhi kwa nini west african kunakuwa na magonjwa very special sana.
 
Marekani wanaolazwa hospital ni 97% ya wasiochanjwa na wanaokufa ni 99% hivyo huu kwa sasa ni ushahidi tosha kwamba chanjo zina fanya kazi. Sijui miezi mitatu hadi 6 ijayo kama hali itaendelea kuwa hivi au ndiyo booster shot itakuwa muhimu.
Ngoja tusubiri tujue ukweli ni upi na uongo ni upi.
 
Ugonjwa wenyewe codes mpya kila siku mara Delta, Beta and Alpha strains. Yaani sasa huyo Delta Variant( sijui niite devil variant) shida sana. Mara Lambada, Gamma variants, ......you name it.

New variants could be named after constellations like Gemini, Aries, and Orion(says WHO). Ifikie wakati tuanze kuangalia haya majina yana siri gani ndani yake.
Tuogope sana ikifika Omega Variant...
 
Kuchanjwa kunaongeza immunity ya mwili kukabiliana na huo ugonjwa tofauti na kutokuchanjwa.
 
Sasa sijui itakuaje hii mambo
Ndiyo tujue hatujui...Hayati alisha set benchamrk kupitoa Tanzania ukiondoa hofu, ukaongeza local metods vorus anatokomea...Hii mambo ya kuiga wengine ndiyo yalitirudisha nyuma...We have to live with virus na ingeshafikia level ingeshakosa nguvu
 
Ni Marekani gani hiyo unayoiongelea? Hizo takwimu ni zile kabla ya Delta variant kuja. Data za sasa za CDC zinasema walio kuwa vaccinated wanakuwa na kiasi sawa cha viral load kama wale wasiokuwa vaccinated.

Majuzi CDC wamerudisha uvaaji wa mask kwa vaccinated... hivi wewe ulipopata vaccine ya TB (ulipokuwa kichanga) uliambiwa uvae mask (kumbuka TB is more dangerous than covid)?
Watu wanataka kulazimisha, sisi tulishaweza kui control COVID19 kivyetu vyetu....Kuiga vya watu ndicho kilichotuponza...
 
Tumeliwa mchana kweupe! Kiasi cha wingi Wa virusi vya corona kwa aliyechanjwa na kuambukizwa asiyechanjwa na kuambukizwa hakitofautiani! Mabeberu washapiga pesa tayari, mikataba ya kununua chanjo ishasainiwa tayari!!
Sijui watu wale wale waliobadilika watarudi kutuambia nini....So saad!
 
Hayati John Pombe Magufuli kabla ya kwende zake alituambia kuwa tutamkumbuka, Nadhani hakujua kuwa kauli yake hiyo ilikuwa ni ujumbe kwa Dunia nzima!!.... Bandiko hili linaonyesha kuwa waingeleza wameanza kujuta!. Majuto ni mjukuu.
Serikali za kiafrika ndo kwanza zinalazimisha watu wachanjwe. Kenya wamewapa wafanyakazi wa serikali ultimatum ya siku 13, wachanjwe au wachukuliwe hatua za kinidhamu.
 
Ndiyo tujue hatujui...Hayati alisha set benchamrk kupitoa Tanzania ukiondoa hofu, ukaongeza local metods vorus anatokomea...Hii mambo ya kuiga wengine ndiyo yalitirudisha nyuma...We have to live with virus na ingeshafikia level ingeshakosa nguvu
Hayati Lab yake iko wapi? ana publication yeyote kuhusu hizi mambo?
 
Kumbe ogopa sana dunia inapochoka kukaliwa na watu!!
 
The Telegraph

Sarah Knapton

Tue, August 10, 2021

Scientists have called for an end to mass testing so Britain can start to live with Covid

Scientists have called for an end to mass testing so Britain can start to live with Covid

The delta variant has wrecked any chance of herd immunity, a panel of experts including the head of the Oxford vaccine team said as they called for an end to mass testing so Britain can start to live with Covid.

Scientists said it was time to accept that there was no way of stopping the virus spreading through the entire population, and monitoring people with mild symptoms was no longer helpful.

Prof Andrew Pollard, who led the Oxford vaccine team, said it was clear that the delta variant could infect people who had been vaccinated, which made herd immunity impossible to reach even with high vaccine uptake.

It comes as Angela Merkel became the first major world leader to announce the end of free testing, with the provision set to stop in Germany from Oct 11.

On Tuesday, the Department of Health confirmed that more than three quarters of adults have now received both jabs, and calculated that 60,000 deaths and 66,900 hospitalisations had been prevented by vaccination. But experts said it would never be enough to stop Covid from spreading.

Speaking to the all-party parliamentary group on Covid, Sir Andrew said: "Anyone who is still unvaccinated will, at some point, meet the virus.

"We don't have anything that will stop transmission, so I think we are in a situation where herd immunity is not a possibility and I suspect the virus will throw up a new variant that is even better at infecting vaccinated individuals."

Until recently, it was hoped that increasing the number of Britons jabbed would create a ring of protection around the population. As late as last week, the Joint Committee on Vaccination and Immunisation said one of the reasons it had advised that 16 and 17-year-olds should be vaccinated was because it may help prevent a winter Covid wave.

However, analysis by Public Health England has shown that when vaccinated people catch the virus they have a similar viral load to unvaccinated individuals and may be as infectious.

Paul Hunter, professor in medicine at the University of East Anglia and an expert in infectious diseases, told the committee: "The concept of herd immunity is unachievable because we know the infection will spread in unvaccinated populations and the latest data is suggesting that two doses is probably only 50 percent protective against infection."

Prof Hunter, who advises the World Health Organisation on Covid, also said it was time to change the way the data was collected and recorded as the virus became endemic.

"We need to start moving away from just reporting infections, or just reporting positive cases admitted to hospital, to actually start reporting the number of people who are ill because of Covid," he added. "Otherwise we are going to be frightening ourselves with very high numbers that actually don't translate into disease burden."

On Tuesday, Sajid Javid, the Health Secretary, confirmed that third dose booster shots would be given from next month. However, Sir Andrew argued that, if mass testing was not stopped, Britain could be in a situation of continually vaccinating the population.

"I think as we look at the adult population going forward, if we continue to chase community testing and are worried about those results, we're going to end up in a situation where we're constantly boosting to try and deal with something which is not manageable," he said.

"It needs to be moving to clinically driven testing in which people are willing to get tested and treated and managed, rather than lots of community testing. If someone is unwell they should be tested, but for their contacts, if they're not unwell then it makes sense for them to be in school and being educated."

Dr Ruchi Sinha, consultant paediatrician at Imperial College Healthcare NHS Trust, told MPs and peers that choosing not to vaccinate children would be unlikely to cause problems in the health service.

"What matters is the burden of patient hospitalisation and critical care and actually there hasn't been as much with this delta variant," she said. "They tend to be the children who have got their comorbidities, obesity, or severe neurological problems and those children are already considered for vaccination. Covid on its own in paediatrics is not the problem."

Mkuu yaani seriously you believe taarifa ya the Telegraph!Hawa ni sehemu ya the genocide plan.Kama wewe sio part of the problem,kwa nini usitaafute taarifa za independent media?Do your own research mkuu,do not believe any rubbish.Kwa kutoa ushauri kama huu you are infact participating in the genocide agenda.This is fake news,hakuna Delta Variant,this is con science and fearmongering. Ventilators sio dawa ya respiratory illnesses.Respirators are infact a death sentence!Jamani wake up,these people are after you,they want you dead at any cost.Hizo protocols wanazodai zina arrest C-19 kama zingekuwa zinaponya, cases za C-19 zingekuwepo,hizo zinazoitwa variants si zingekoma?Mbona the situation is becoming worse.Do not be stupid.Ni utapeli utapeli,utapeli mtupu.

The right medication for respiratory illnesses ni Hydroxychloroquine and Ivermectin,but these drugs are purposely being withheld by the establishment so that people may die.Infact some of us are now afraid of hospitals,kwa kuwa in the West people are being killed in hospitals,so as to hype death numbers so as to justify the need for a vaccine.Ni ushetani,ushetani mtupu.Hao hao wanao ambiwa wana C-19 organs zao zinakuwa harvested na kuuzwa!

Prorocols zote zilizopo sasa za C-19 nia sio kusaidia watu,nia ni genocide.Facemasks,ventilators,lockdowns,social diatancing,lockdowns and waste of all the so called C-19 vaccine.

Finally,I hate the use of the word herd in humans,huku ni kutukosea binadamu heshima.Naomba usibebwe na ujinga huu.Follow the following link to see the real agenda for C-19.


 
Back
Top Bottom