#COVID19 Delta variant has wrecked hopes of herd immunity, warn scientist

Watupishe wapenda STRESS hao, mbona hatusikii South African Variant wala Tanzanian wala Indian..
Hivi wachina bado wapo duniani? kimyaa!

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Marekani wanaolazwa hospital ni 97% ya wasiochanjwa na wanaokufa ni 99% hivyo huu kwa sasa ni ushahidi tosha kwamba chanjo zina fanya kazi. Sijui miezi mitatu hadi 6 ijayo kama hali itaendelea kuwa hivi au ndiyo booster shot itakuwa muhimu.
Mkuu unaishi marekani? maana wabongo mna data za marekani kuliko wamarekani wenyewe.
 
Busta inahitajika, imegoma kusimama.

Kwani hii ilikuwa chanjo basi?
Nasikia CDC wamesitisha busta kwanza. Ni kama dunia imechanganyikiwa hivi,

Nireteeeeni Gwajimaaaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi umesahau news nowadays news is available on your fingertips!? JIONGEZE!!!
Mkuu unaishi marekani? maana wabongo mna data za marekani kuliko wamarekani wenyewe.
 
Marekani wanaolazwa hospital ni 97% ya wasiochanjwa na wanaokufa ni 99% hivyo huu kwa sasa ni ushahidi tosha kwamba chanjo zina fanya kazi. Sijui miezi mitatu hadi 6 ijayo kama hali itaendelea kuwa hivi au ndiyo booster shot itakuwa muhimu.

Nadhani huna taarifa sahihi.

**************************************
Jerusalem Post Israel News
Israel hits 400 serious COVID cases ahead of corona cabinet meeting
By MAAYAN JAFFE-HOFFMAN

The coronavirus cabinet is expected to meet on Wednesday evening to discuss new measures to stop the Delta variant spread.

Israel hit 400 serious patients on Wednesday morning, the Health Ministry reported - an increase of 10 from the day before.

The coronavirus cabinet is expected to meet on Wednesday evening to discuss new measures to stop the Delta variant spread.

*There were 694 people being treated for the virus in Israel’s hospitals. Some 64% of those patients defined as critical were fully vaccinated, compared to 32% who were not. Another 2% were in the process of being vaccinated and 2% were recovered. *

 
Reactions: BAK
Una akili sawa sawa wewe? 🀣🀣🀣🀣 Mimi nimeandika kuhusu USA wewe unaniletea habari ya Israel!? 😳😳😳

 
Kwa hiyo kirusi cha corona kina tabia tofauti tofauti kulingana na nchi? Kwa USA kibehave tofauti na kwingineko?

"CDC study shows 74% of people infected in Massachusetts Covid outbreak were fully vaccinated"

 
Watachanjwa wee hadi wakose fahamu, kila mdudu akijibadilisha ni chanjo, sasa sijui kutakuwa na chanjo ngapi, mwishowe mwanadamu hataishi bila chanjo, na kwa mpango huu watengeneza chanjo watazidi kucheka na mabenki.
 
Umeisoma article au unakuja na assertion zako kujipa moyo?
Hajasoma zaidi anajifurahisha .
Mambo ni fire , chanjo imedunda kabla ya watu kudungwa. Ngwajima yuko wapi?
 
Hivi umesahau news nowadays news is available on your fingertips!? JIONGEZE!!!
Hata kama,unataka kuniambia msoma news ana taarifa zaidi ya aliyesababisha news ziandikwe?
Kwa mantiki hii sihitaji kujiongeza kwa mambo yanayohitaji akili ya kuzaliwa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akili ya kuzaliwa kwenye ugonjwa ambao hujui chochote kuhusu ugonjwa huo!? 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hata kama,unataka kuniambia msoma news ana taarifa zaidi ya aliyesababisha news ziandikwe?
Kwa mantiki hii sihitaji kujiongeza kwa mambo yanayohitaji akili ya kuzaliwa.
 
Nasikia CDC wamesitisha busta kwanza. Ni kama dunia imechanganyikiwa hivi,

Nireteeeeni Gwajimaaaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ni kweli mwezi jana walitaka kuwaongezea watu dozi nyingine, serikali ya Biden ikakataa.

Hizi chanjo zimeshaanza kuonesha dosari, tatizo madaktari wanaogopa kusema ukweli (makampuni ya madawa yana nguvu sana). Media kubwa zote zinaongea lugha moja tuu, chanjo. Ikitokea mtu akaweka video kuonesha dosari za chanjo, video ikianza kutrend inaondolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…