Dem ananishangaa tabia yangu.

Dem ananishangaa tabia yangu.

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana mpinzani kwa uzuri,Chuchu kwanza zimesimama utafikiri zimefufuliwa na yule mchungaji wa Sauzi afrika,Tade(zigo)lina kama kilo 30 na ush*nzi ivi,Toto lips dendalee apo fiade,Guu la Champagne na masifa mengine kaa hayo,,Machalii wote class walishawahi kumsalandia uyu mamdii ili wayajenge Mapendo Catholic lakini wanaangukia kiuno,So leo nilikua nime chill nameremeta ki tag ubavu akaja akaanza kunichukua maelezo na maswali kaa niko kwenye interview ya XXL"Mikazo kwanini Wavulana wote wamenitongoza kasolo wewe tu?Unanichukia eti?"kabla sijamjibu nikameza kwanza fundo la maji nikarekebisha na saa kidogo,Nikamjibu"Kila anaekutongoza hamaanishi anakupenda"Nikakohoa kidogo kisha nika-mute sekunde kadhaa nikaendelea tena uku nimemkazia sura kama nafunga bao la first"Mbona mimi ma'manzi wote humu ndichi wamenitongoza kasolo wewe tu?nikuulize sasa namimi..Unanichukia?"Kidume mwenye ndevu ingawa bado chache ila zinatosha kuombea maji Nikanyanyuka nikabeba kibegi changu nikapita ivi nikimwacha yuko Dilemma..Kiukweli namwelewaga kisoro but naogopaga kumtonya so navunga kama sina mpango nae uku nagugumia chinichini kaa gebwe,,,Wasalaam......



@ChaliiYaKijengeJuu
 
Hahahaha, nimecheka sana na kuikumbuka Arusha. Hii ni moja katika sehemu ambayo nimekaa na nilikuwa siishi kucheka. The Good old days.......

Hahaha siku hizi madogo wa Arusha mekuwa wajanja kama watoto wa Dar mmeache ugoro, bangi, Hip-Hop na kuchomana visu kibwege bwege....
 
Hahahaha, nimecheka sana na kuikumbuka Arusha. Hii ni moja katika sehemu ambayo nimekaa na nilikuwa siishi kucheka. The Good old days.......

Hahaha siku hizi madogo wa Arusha mekuwa wajanja kama watoto wa Dar mmeache ugoro, bangi, Hip-Hop na kuchomana visu kibwege bwege....
Machalii wa Gachuland ni wajanja since day one bablai,,Izo chalii za daresalade ni whack.
 
Machalii wa Gachuland ni wajanja since day one bablai,,Izo chalii za daresalade ni whack.
Dogo hakunaga ujanja kwenye kuvuta ugoro, bangi au kukataa shule kisa kuimba Gangsta Rap. Upuuzi puuzi tu, kama hivi uko chuo nakushauri soma sana kwa bidii Elimu ndiyo itakuweka mjini. Haya mengine ya sijui mimi natoka Kijenge Juu hayasaidiii ukiwa huku mtaani.
 
Back
Top Bottom