princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
- Thread starter
- #21
Baridi barafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baridi barafu
Nashukuru sana dingii kwa ushauri wako ntaufanyia kazi.Dogo hakunaga ujanja kwenye kuvuta ugoro, bangi au kukataa shule kisa kuimba Gangsta Rap. Upuuzi puuzi tu, kama hivi uko chuo nakushauri soma sana kwa bidii Elimu ndiyo itakuweka mjini. Haya mengine ya sijui mimi natoka Kijenge Juu hayasaidiii ukiwa huku mtaani.
Ukieleweshwa naomba uni Tag na mm[emoji860]jamani alie muelewa huyu anisamalizie japo kidogo na mm nielewe[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
utoto rahaOy oy it'z another beautifull day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana mpinzani kwa uzuri,Chuchu kwanza zimesimama utafikiri zimefufuliwa na yule mchungaji wa Sauzi afrika,Tade(zigo)lina kama kilo 30 na ush*nzi ivi,Toto lips dendalee apo fiade,Guu la Champagne na masifa mengine kaa hayo,,Machalii wote class walishawahi kumsalandia uyu mamdii ili wayajenge Mapendo Catholic lakini wanaangukia kiuno,So leo nilikua nime chill nameremeta ki tag ubavu akaja akaanza kunichukua maelezo na maswali kaa niko kwenye interview ya XXL"Mikazo kwanini Wavulana wote wamenitongoza kasolo wewe tu?Unanichukia eti?"kabla sijamjibu nikameza kwanza fundo la maji nikarekebisha na saa kidogo,Nikamjibu"Kila anaekutongoza hamaanishi anakupenda"Nikakohoa kidogo kisha nika-mute sekunde kadhaa nikaendelea tena uku nimemkazia sura kama nafunga bao la first"Mbona mimi ma'manzi wote humu ndichi wamenitongoza kasolo wewe tu?nikuulize sasa namimi..Unanichukia?"Kidume mwenye ndevu ingawa bado chache ila zinatosha kuombea maji Nikanyanyuka nikabeba kibegi changu nikapita ivi nikimwacha yuko Dilemma..Kiukweli namwelewaga kisoro but naogopaga kumtonya so navunga kama sina mpango nae uku nagugumia chinichini kaa gebwe,,,Wasalaam......
@ChaliiYaKijengeJuu
Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana mpinzani kwa uzuri,Chuchu kwanza zimesimama utafikiri zimefufuliwa na yule mchungaji wa Sauzi afrika,Tade(zigo)lina kama kilo 30 na ush*nzi ivi,Toto lips dendalee apo fiade,Guu la Champagne na masifa mengine kaa hayo,,Machalii wote class walishawahi kumsalandia uyu mamdii ili wayajenge Mapendo Catholic lakini wanaangukia kiuno,So leo nilikua nime chill nameremeta ki tag ubavu akaja akaanza kunichukua maelezo na maswali kaa niko kwenye interview ya XXL"Mikazo kwanini Wavulana wote wamenitongoza kasolo wewe tu?Unanichukia eti?"kabla sijamjibu nikameza kwanza fundo la maji nikarekebisha na saa kidogo,Nikamjibu"Kila anaekutongoza hamaanishi anakupenda"Nikakohoa kidogo kisha nika-mute sekunde kadhaa nikaendelea tena uku nimemkazia sura kama nafunga bao la first"Mbona mimi ma'manzi wote humu ndichi wamenitongoza kasolo wewe tu?nikuulize sasa namimi..Unanichukia?"Kidume mwenye ndevu ingawa bado chache ila zinatosha kuombea maji Nikanyanyuka nikabeba kibegi changu nikapita ivi nikimwacha yuko Dilemma..Kiukweli namwelewaga kisoro but naogopaga kumtonya so navunga kama sina mpango nae uku nagugumia chinichini kaa gebwe,,,Wasalaam......
@ChaliiYaKijengeJuu
Aikwereki budaahWrite your reply...acha usoro dingilai ungetupia verse mbona unakuwa mshambaa Kama njeree mchane live huyo mamiloo unaogopa nini chalii angu kuna kupata na kukosa yote matokeo hayo chalii za chuga hatuko na uoga kama hizi za dar
Ni ente dingi angu.Hahahaha sipo concerned sana na content bali uandishi wako hapo japo mtoto wa chuo na wa A town tena upo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Knich knach ni full laana kwa fas dwalala chalianguYaani ni fulu fululu mpaka Mbulu kwa Mama Sululu.![emoji23][emoji23]
Acha kutulinganisha Chalii za Ara na hao ma'ree wa Nairobee babride.Vijana wa Arusha na Nairobi wanajifanya wajuaji sana lakini n vichwa Nazi tu ovyo kabisa...
Noma na robo ariff.Dah! Hizi nyuzi zingekua na video zake ingekua poa sana... Najaribu tu kujenga picha kichwani ya scene ya interview yako na mam'dii
Noma na robo ariff.Dah! Hizi nyuzi zingekua na video zake ingekua poa sana... Najaribu tu kujenga picha kichwani ya scene ya interview yako na mam'dii
Ata kama dharau sio kwa kiwango iki chaliangu,,Siju ata nikuweke wapi we soro asee?!Upo Zayoni college?