Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Fungulia ile sub woofer tafadhali ukae kwa kutulia.Nipo hapa namsikiliza π
MzeePM kakufungia wewe. Japo ww humpati, ila akiamua kukutumia msg pm, anakupata. Mkuu huna chako, nakushauri create account mpya, then mtongoze tena.
Demi ukiona ID mpya inaanza kukupetipeti, kataa π π π
Umeshaliwa kichwa kaa chonjo mkuuu [emoji90][emoji90][emoji23]Kanichomesha mahindi zaidi ya mara sita...
I dont want peace i want trouble always
Marahaba, unasemaje?Shikamoo
Basi tuliaKama ilivyo kwa wana JF nasema I Have Mane
Mpe no yangu mkuu hilo litaisha ndani ya saa mojaWanabodi nimenuniwa na Demi
Nipeni maujanja ya kupata suluhu.
Nifanyeje kabla sijaanza kuokota makopp
Niamini mimi.Daah