Demi amenichunia. Nifanyeje?

Demi amenichunia. Nifanyeje?

PM kakufungia wewe. Japo ww humpati, ila akiamua kukutumia msg pm, anakupata. Mkuu huna chako, nakushauri create account mpya, then mtongoze tena.

Demi ukiona ID mpya inaanza kukupetipeti, kataa 😅😅😅
Mzee
Kesho sauti inakauka kwa siku mbili.

We endelea kunipeperushia ndege🤣
 
Ni ishara kwamba anataka kuona kama unamjali au unamcare vizuri .Ni kawaida kwa mwanamke Kununa kwahiyo usimpotezee.Kamuoneshe jinsi gani unavyompenda na kumkubatia kumuambia it's okay .Mfanye aongee yote yaliyomo moyoni mwake na uyafanyie kazi.
 
Back
Top Bottom