Demi live on muosha rungu TV show!!

Demi live on muosha rungu TV show!!

Katika malezi yako unadhani nini ulikosa toka kwa wazazi
Pia nn kimekusaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru hakuna kitu nilichokosa kutoka kwa wazazi wangu, wamenilea na kunisomesha ipasavyo.
Kilichonisaidia ni malezi ya mama kunilea kwa kufanya kazi za kila aina bila kuchagua, na sasa naweza kuishi mazingira yoyote yale.
 
Nashukuru hakuna kitu nilichokosa kutoka kwa wazazi wangu, wamenilea na kunisomesha ipasavyo.
Kilichonisaidia ni malezi ya mama kunilea kwa kufanya kazi za kila aina bila kuchagua, na sasa naweza kuishi mazingira yoyote yale.
Unadhani baba yako anafaa kuwa role model ya mumeo mtarajiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leo ni hot kwakweli! mie naomba tu uniambie kakitu kamoko.... najua umeolewa lakin haizui ww kumepnda mtu unconditionaly... yes it happen,... yupo huyo mtu? unafialje kuwa ane mbali na ww kwasabb umeolewa!

ni hayo tu kwaleo,,, ndimi le shostito, le madame, le friend, le pedejee lakike staafu..... ndukiiiiiiiiii
 
Dogo kapige puri ulale. Nilikuambia uache kula ugoro husikii

Washa penzi kama moto[emoji91] [emoji91] demi$connor
Unaharibu uzi kwa mambo yako ya kijinga...leo acha nisikujibu....
 
leo ni hot kwakweli! mie naomba tu uniambie kakitu kamoko.... najua umeolewa lakin haizui ww kumepnda mtu unconditionaly... yes it happen,... yupo huyo mtu? unafialje kuwa ane mbali na ww kwasabb umeolewa!

ni hayo tu kwaleo,,, ndimi le shostito, le madame, le friend, le pedejee lakike staafu..... ndukiiiiiiiiii
Swali la kichokozi hili..
.
.
Yes huwa inatokea, nami ni binadamu pia!
 
Back
Top Bottom