Demi live on muosha rungu TV show!!

Nashukuru hakuna kitu nilichokosa kutoka kwa wazazi wangu, wamenilea na kunisomesha ipasavyo.
Kilichonisaidia ni malezi ya mama kunilea kwa kufanya kazi za kila aina bila kuchagua, na sasa naweza kuishi mazingira yoyote yale.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Reactions: Lee
1. Malezi ya mtoto
2. Kipigo ndani ya ndoa
3. Kukosa normal freedom

Unahisi katika malezi ni sahihi kumpa mtoto wa kiume / kike complete freedom akiwa na umri gani.?
Na kweli utampa uhuru kamili kuamua anachotaka, hata akitaka awe lesbian/ shoga utakubaliana nae?
Kama hapana hiyo freedom itakuwa na mipaka ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…