Demi live on muosha rungu TV show!!

Demi live on muosha rungu TV show!!

Ha haaa..


huwa napenda tuongee same language !humu 70% inaonekana hawajaoa au kuolewa ! unaliona limeibuka huko linaandika [HASHTAG]#NDO[/HASHTAG] MAANA SITAOA! khaa unajiuliza hv huyu ameingia kwenye viatu vyangu anajua napitia magumu gan! kwann usiniache ukajali yako? au bas nipe ushauri niufate nisiufate ni mm! mfano ww nianze kukusema mhh demi had bangi umevuta mhh wewe sio mwanamke aise

si unaona kuna poyoyo mmoja alikuuliza r u sure ww mwanamke!heheheh mie huyoo uwi siwez mvumilia! sitak kbs kunyooshea vidole linapokua suala la ndoa aic! KUA UYAONE! mxiew
 
huwa napenda tuongee same language !humu 70% inaonekana hawajaoa au kuolewa ! unaliona limeibuka huko linaandika [HASHTAG]#NDO[/HASHTAG] MAANA SITAOA! khaa unajiuliza hv huyu ameingia kwenye viatu vyangu anajua napitia magumu gan! kwann usiniache ukajali yako? au bas nipe ushauri niufate nisiufate ni mm! mfano ww nianze kukusema mhh demi had bangi umevuta mhh wewe sio mwanamke aise

si unaona kuna poyoyo mmoja alikuuliza r u sure ww mwanamke!heheheh mie huyoo uwi siwez mvumilia! sitak kbs kunyooshea vidole linapokua suala la ndoa aic! KUA UYAONE! mxiew
Ndo tunataka kuona majibu yako kwa watu kama hao.
Mimi hawanisumbui, maisha yangu ni yangu...kila mtu ana maisha yake na mambo yake. Kuna watu wana siri za ajabu ukizisikia utazimia lkn anakuwa wa kwanza kukunyooshea kidole.
 
Ndo tunataka kuona majibu yako kwa watu kama hao.
Mimi hawanisumbui, maisha yangu ni yangu...kila mtu ana maisha yake na mambo yake. Kuna watu wana siri za ajabu ukizisikia utazimia lkn anakuwa wa kwanza kukunyooshea kidole.



hahaha HAPANA ! wahojiwe wasichana jaman mama km mie unanihoji uvumbue nn aise! mie nipo huku for fun sio kuninyooshea midole pyeee
 
Nikiwa ready kwa interview??? hahaha yangu ita break the internet maana hayo maswali pm sio poa itakua hapa.... hapana kwa kweli.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mfano swali lipi unaliogopa sana kuulizwa

DJ sepetu
 
Mfano swali lipi unaliogopa sana kuulizwa

DJ sepetu
Hakuna swali naogopa kuulizwa na siku zote hata kwenye real life hua napokea maswali mengi sana na najibu..... tatizo hii mitandao bro kesho na kesho kutwa Kigwa huyu hapa uwiiiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Hakuna swali naogopa kuulizwa na siku zote hata kwenye real life hua napokea maswali mengi sana na najibu..... tatizo hii mitandao bro kesho na kesho kutwa Kigwa huyu hapa uwiiiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Kigwa Ukiwa Na maana ipi

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom