Demiss amepotelea wapi?

Hivi Mzigua90 yuko wapi?
 
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Lodge au kwenye jengo bovu.Wangari aka changamsha genge.
 
Nashauri Mshana Jr afungwe jela maisha haiwezekani toka nimekomenti asubuhi mpk Sasa Uzi Bado unatembea ...
Hizi tuhuma hazitofautiani na zile za Sabaya..ha haaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…