Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

@manengelo
@mbitiyanza
@mangari wathai
Manengelo, mbitiyanza, mangai waathari ni mtu mmoja anaebadili I'd kila akipata janga humu.
Humu watu wabaya sana aisee!
Ngoja aje na I'd yake nyingine anichambeeee maana binti ana kisirani yule na mjuaji balaa, Ila mpambanaji kwa namna anavyoelezea hustle zake......
Hivi Mzigua90 yuko wapi?
 
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Lodge au kwenye jengo bovu.Wangari aka changamsha genge.
 
Nashauri Mshana Jr afungwe jela maisha haiwezekani toka nimekomenti asubuhi mpk Sasa Uzi Bado unatembea ...
Hizi tuhuma hazitofautiani na zile za Sabaya..ha haaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20211119-180830.jpg
 
Back
Top Bottom