Ali~Screen Shot PM Akazimwa Humu Haa HaaAlifunuaje mkuu?
Aisee huyu alikua mtu wangu wa nguvuWangari Maathai
Waliangukiwa na vitu vizito
Peoples pulled out her nasty searching History. It was a mess.Alifanyaje huyu mkuu?
ile movie ilikua tam sana, kubwa la maadui alifia kwenye mauaPeoples pulled out her nasty searching History. It was a mess.
JF Watu hawajali mzeeAisee huyu alikua mtu wangu wa nguvu
Wangari Maathai
Waliangukiwa na vitu vizito
Hahaa mkuu si unabadili tu Id labda kama kuna mtu anakujua personally.Mmmh aisee! Reaction yake ilikuwaje sasa kwa wahanga?
Kama unataka kuishi kwa amani humu don't bunk with JF's Muchachosile movie ilikua tam sana, kubwa la maadui alifia kwenye maua
Wangari Maathai alifanya kitu gani? Ya Demiss niliiona ila wa Wanagari Maathai ilinipita ila ghafla kapotea.Wangari Maathai
Waliangukiwa na vitu vizito
Ndo ivo watu waliyoa faili lake akabaki mtupu kwenye kadamnasiWangari Maathai alifanya kitu gani? Ya Demiss niliiona ila wa Wanagari Maathai ilinipita ila ghafla kapotea.
Bia YetuWapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k
Aiseee hatariNdo ivo watu waliyoa faili lake akabaki mtupu kwenye kadamnasi
Mshana Jr@ unaitwa huku mzee wanguKwamba alikuwa mtu wa brother mshana Jr?
[emoji3][emoji3][emoji3]ile movie ilikua tam sana, kubwa la maadui alifia kwenye maua
Popote ulipo Demiss, Masai Dada, Mama Facebook, mjifanye kama mnajikuna popote mlipo tafadhali.Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k