Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.


Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.


Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k
Bia Yetu

Ncha Kali..
 
Demis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.


Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.


Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k
Popote ulipo Demiss, Masai Dada, Mama Facebook, mjifanye kama mnajikuna popote mlipo tafadhali.
 
Back
Top Bottom