Wanaigiza wanamaisha mazuri sana na sisi tunaigiza tumechoka sana ila wote tunadanganyamkuu unayodhani sio kabisa naweza nikakupa na majina ya niliokutana nao humu wanajishaua na wengine wamama walinitongoza kabisa..
Yaani ni cheap sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23] nlikua kwetu mabwepande nasaga vumbi, hata smartphone skua naijua.kiufupi ulikosa mengi sana ulikuwa tarime unalima?
Umechelewa mjini [emoji16][emoji16]
Wee shost umejuaje sasa, yaan natak had nijipige kofi, [emoji23][emoji23][emoji23]Unavyopenda ubuyu sasa, basi hapo umejilaumu mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikujua muda kinachoendelea humu ila ipo siku moja mwenye Id hiyo alini-attack vibaya kwenye uzi nadhani ulikuwa jukwaa la ujenzi yaani vile alivyoandika ukiwa mwepesi ungeweza kuamini labda anamiliki ghorofa somewhere kumbe alikuwa mala.ya tu.
Toka nijiunge Jf sijawahi kufikilia kutoka na member humu Mume wangu anatoshaEehe wewe ukitongozwa ingina king ila Ukivua kyupi vua kwa akili[emoji3][emoji3][emoji3] Utadhalilishwa humu mpaka ushangae
Fanya iwe kinyume nyume sasa ila wenye safi wapo hapa matapeli wapo hapa,wadangaji kama nanii.. Wapo hapa matajiri na maskini wapo hapa.Wanaigiza wanamaisha mazuri sana na sisi tunaigiza tumechoka sana ila wote tunadanganya
Lahaulaaa wee. Ukimwaga ugali tu kidogo, huu uzi wataukimbia wadada wote. Nasema suuuuumkuu unayodhani sio kabisa naweza nikakupa na majina ya niliokutana nao humu wanajishaua na wengine wamama walinitongoza kabisa..
Yaani ni cheap sanaa
Tenaa nakuja kweli ujue, [emoji23][emoji23][emoji23]Leo uje mwaya nina zawadi yako nzuuri sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya msalimie Mumeo..!! Maana lolote linaweza kutokea...Toka nijiunge Jf sijawahi kufikilia kutoka na member humu Mume wangu anatosha
Read me between the lines sister sijamuhukumu mtu mimi!!!Yule dada ni mpiganaji Na anatafuta pesa achen kumsema vibaya
Kila mtu ana mapungufu yake humu tusihukumiane
Sitaki kuchafua hali ya hewa jamani tutaharibu ndoa za watuLahaulaaa wee. Ukimwaga ugali tu kidogo, huu uzi wataukimbia wadada wote. Nasema suuuuu
ππππ Ukikumbuka ulivokua unatembelea hizo id mwili wote unakufa ganzi.Lord have mercy
Mbitiyanza ni Manengelo kumbe?
Hivi mimi nimelogwa au naota?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nishaotewa mbna, bado kulipuliwa tyuuh,Mjukuu punguza spidi[emoji23]siku wakikuotea nawewe utaiona Dar kijiji
Eeeh sasa wanazengo tuna mikanda yote flashback za kutosha uwe umekidhi vigezo tu ikiwemo[emoji23][emoji23][emoji23] nlikua kwetu mabwepande nasaga vumbi, hata smartphone skua naijua.
Nyamazeni jameni msiongee kitu....
[emoji23][emoji23][emoji23]Lahaulaaa wee. Ukimwaga ugali tu kidogo, huu uzi wataukimbia wadada wote. Nasema suuuuu
Ukampika, ukampakua ππππHata nyuzi zake binafsi zilikuwaga hivi hivi... Nilimpika mwenyewe[emoji23]
Aaa wapi kamwe katu haiwezi kutokea nalea wajukuu sasa kula kimasihara nimewaachia vijana.Ni ushamba kutoka na mtu kuja kumuanika jukwaani kwani sex kuna ajabu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya msalimie Mumeo..!! Maana lolote linaweza kutokea...
Wee nakuogopa, kna mtu alinitonya kuhusu wee tangu zaman mbna. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh sasa wanazengo tuna mikanda yote flashback za kutosha uwe umekidhi vigezo tu ikiwemo
Cheti cha kuzaliwa, form 4 na 6
Kitambulisho cha nida