Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Ila mshana ni penda penda sana sasa yule mwanamke wa kuitwa demiss alimpendea nini, mwanamke alikuwa ana mdomo mchafu mno pia alikuwa akitafuta umaarufu kwa nguvu ila alichokipata hatokuja kusahau.

Maana wadau walitoa hadi za ndani kabisa kwamba kuna watu kadhaa wameruka ukuta kwake, siku ile ndio alitambua umaarufu una madhara yake maana watu walimuamulia wakaja na picha zake kutoka facebook, hapo sasa watu ndio wakamshindilia hasahasa sindano za moto hadi akakimbia ID yake.

Binafsi na uzee wangu huu nimechakata mbususu kadhaa humu ila niwe mkweli asilimia 90% ya wanawake wa humu kuwala inahitaji moyo hizi avatar wanazotumia zinaficha mengi mno na kinachopelekea wao kuliwa ni tamaa zao kwenye pesa, ila kwa kuwa bado wanaendekeza njaa ngoja waliwe tu.

Nimefunga kurasa.
Hata wewe Mwanamke uliyekuwa nae kuna watu wanajiuliza umempendea nini umeandika umechakata mbususu kadhaa una shida mahali
 
Kama ni huyo ni kweli alijinyonga akafariki, hata alipokua anaishi nyumba naifahamu.

Japo sikua namfahamu kwa sura ila nilijua ni msiba wake baada ya kusoma ule uzi huku + mazingira ya kifo kule mtaani kwao walivyokuwa wanasimulia nikajua ni yeye.
Wee kumbe n kweli alijinyonga? So [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mpauko simjui wala sijui walisaidiana nini ila nakumbuka kama vile aliwahi kuishi na Wangari somehow. Ninaowasema ni Sivan na Umomi, nimewataja kwa kuwa ID zao ziko banned muda sasa na sio active.

Muda wa kueleza sana sina ila niliposoma ID zao
nikacheki mada zao na majibu yao wawili plus yule dada wakiwa kwenye nyuzi. Nikaunganisha na mikakati ya kuchanga hela waliyonipa uko PM. Maelezo yao ni tofauti kila uzi na nilikataa wazo lao. Siku chache baadae Sivan akatangaza Umomi kafariki ila kuna members wakakataa na reasons za mashiko. Ndio nikaraise doubt yawezekana hizi attempt sijafanyiwa mimi pekee. Hao walikuwa wanaitwa wadogo zake na waliwahi kubadili ID, since hapo sikuwahi muamini 100% huyo dada na sio kosa.

Saint Anne hakuna sehemu nimesema huyo bosslady alikuwa tapeli. Nimesema alikuwa anatetea matapeli, kama kwako hili ni sawa basi Alleluya. Unataka ushahidi wa kutetea matapeli? Omba ule uzi ifunguliwe na mods
Yeaaah Umomi ndo najua alisemwa amekufa, na ID yake haiko active had Leo.
 
wangari mathai
demiss
Na wengineo wengi tuulizeni sisi wafukunyuzi tuwape ukweli

Au nimeghairi 😁😁
 
Ila mshana ni penda penda sana sasa yule mwanamke wa kuitwa demiss alimpendea nini, mwanamke alikuwa ana mdomo mchafu mno pia alikuwa akitafuta umaarufu kwa nguvu ila alichokipata hatokuja kusahau.

Maana wadau walitoa hadi za ndani kabisa kwamba kuna watu kadhaa wameruka ukuta kwake, siku ile ndio alitambua umaarufu una madhara yake maana watu walimuamulia wakaja na picha zake kutoka facebook, hapo sasa watu ndio wakamshindilia hasahasa sindano za moto hadi akakimbia ID yake.

Binafsi na uzee wangu huu nimechakata mbususu kadhaa humu ila niwe mkweli asilimia 90% ya wanawake wa humu kuwala inahitaji moyo hizi avatar wanazotumia zinaficha mengi mno na kinachopelekea wao kuliwa ni tamaa zao kwenye pesa, ila kwa kuwa bado wanaendekeza njaa ngoja waliwe tu.

Nimefunga kurasa.
Hahaha eti kuwala wanawake wa jf inahitaji moyo[emoji16], kwann sasa mkuu wana sura mbaya au?
Mimi wanawake wa jf huwa nawaogopa nahisi ni wanawake flan hivi wenye maisha mazuri sana na ni wazuri balaa maana I'd zao username &avatar zinapendeza sana kwakweli inanifanya nijione siyo hadhi yao sijawahi kufikiria wala kuwa na ndoto ya kumfata hata mmoja PM naona kuwafata na kuwaimbisha ni kama ndoto ya msukuma toroli kuwaza kumuoa mtoto wa Joe Biden

lla kiukweli mkishapendana mkamalizana huko haipendezi kuja kuanikana japo wengi wao nafikiri huwa wanajitakia wenyewe maana wadada wa jf baadhi yao Wana dharau na maneno machafu balaa anaweza akakuamulia hadi ukashindwa kuelewa yote haya yanatoka wapi? Ndo mwsho wa siku huwa wanaangukia kwa wanao wajua vizuri wanaishia kudhalilishwa.
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.

Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.

Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Anayetaka kujua A to Z kuhusu hao vishampula aseme tu usisahau hela ya vocha 😁😁
 
Hahaha eti kuwala wanawake wa jf inahitaji moyo[emoji16], kwann sasa mkuu wana sura mbaya au?
Mimi wanawake wa jf huwa nawaogopa nahisi ni wanawake flan hivi wenye maisha mazuri sana na ni wazuri balaa maana I'd zao username &avatar zinapendeza sana kwakweli inanifanya nijione siyo hadhi yao sijawahi kufikiria wala kuwa na ndoto ya kumfata hata mmoja PM naona kuwafata na kuwaimbisha ni kama ndoto ya msukuma toroli kuwaza kumuoa mtoto wa Joe Biden

lla kiukweli mkishapendana mkamalizana huko haipendezi kuja kuanikana japo wengi wao nafikiri huwa wanajitakia wenyewe maana wadada wa jf baadhi yao Wana dharau na maneno machafu balaa anaweza akakuamulia hadi ukashindwa kuelewa yote haya yanatoka wapi? Ndo mwsho wa siku huwa wanaangukia kwa wanao wajua vizuri wanaishia kudhalilishwa.
mkuu unayodhani sio kabisa naweza nikakupa na majina ya niliokutana nao humu wanajishaua na wengine wamama walinitongoza kabisa..
Yaani ni cheap sanaa
 
Hamna kiranga wala nini wakikuamulia tu waja!yaani kuomba Mungu tu!
Mbna unanitisha ujue? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine wasivyopendwa humu, wataanikwa na picha zao, bora kuwa mpoleeeh tyuuh.
 
Hebu ngoja kwanza. Yani unataka kunithibitishia pasi na shaka kuwa Manengelo ndio Wangari Maathai?

Kama ni kweli basi leo nimeamini mimi ni bonge la fala sana mamamae zangu na robo tatu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila mshana ni penda penda sana sasa yule mwanamke wa kuitwa demiss alimpendea nini, mwanamke alikuwa ana mdomo mchafu mno pia alikuwa akitafuta umaarufu kwa nguvu ila alichokipata hatokuja kusahau.

Maana wadau walitoa hadi za ndani kabisa kwamba kuna watu kadhaa wameruka ukuta kwake, siku ile ndio alitambua umaarufu una madhara yake maana watu walimuamulia wakaja na picha zake kutoka facebook, hapo sasa watu ndio wakamshindilia hasahasa sindano za moto hadi akakimbia ID yake.

Binafsi na uzee wangu huu nimechakata mbususu kadhaa humu ila niwe mkweli asilimia 90% ya wanawake wa humu kuwala inahitaji moyo hizi avatar wanazotumia zinaficha mengi mno na kinachopelekea wao kuliwa ni tamaa zao kwenye pesa, ila kwa kuwa bado wanaendekeza njaa ngoja waliwe tu.

Nimefunga kurasa.
yule jamaa aliemlipua siku ile si akapigwa ban ya maisha?
Nakumbuka ilikuwa mwisho wa mwezi demiss akaweka picha akidai anakula mshahara hotelini

Kumbe siku hiyo alikuwa na huyo jamaa pembeni ananyanduliwa
Jamaa akazileta picha full baadae dah
 
Back
Top Bottom