We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]
Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kuta ni huyohuyo mmoja we ukadhani ni wengi...Ulivyo Na wanawake wengi sasa babu
Babuuu njoo kule maeneo bas, unajua unanipa ahueni, naanza kuhis joto linapungua ujue? [emoji23][emoji23]Hebu wacha maneno mingi hebu niflash ule mtandao unaopatikana tarakimu zisome fasta ukajipoze na cider kadhaa kwanza
Kwahiyo bado mnaendelea na ubuyu? Mmekunywa chai? Hamfui?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah itakua sio vema kusema hapa.Alikutonyaje
Maana wanatusema sie
Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..
Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.
Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..
Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu
Nacheka sanaa..
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wangekomaa na I’d zao hizohizo hakuna kubadilishaShida mwanaume anaona hio ndo njia pekee ya kumkomoa mwanamke..!! Ukijidai Queen na watu wanakujua wanakushusha tu japo sio Poa kabisaaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu matembezi yenyewe sasa unayafanyia PM huko
Na Id zote zinakupa kura ya ndio LOL
Basi nimeacha naondoka
Wee Ungewezaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Papa ishaanikwa watu wanakujua nje ndani. .Wangekomaa na I’d zao hizohizo hakuna kubadilisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..
Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.
Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..
Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu
Nacheka sanaa..
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wii uliwahi jichanganya? [emoji23][emoji23][emoji23]Forum nzito sana hii
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wee babuuh n kiwembe sana ujue?Unachekea msiba?
Shida inakuja zaidi pale unapewa namba ya voda, tigo na airtel utume na tozo, kumbe miamala yote ni ya mtu mmoja....umepitia mengi Aspirin acha tu ujinywee zako kvant kuupa mwili pole 😁Afu matembezi yenyewe sasa unayafanyia PM huko
Na Id zote zinakupa kura ya ndio LOL
Shida inakuja zaidi pale unapewa namba ya voda, tigo na airtel utume na tozo, kumbe miamala yote ni ya mtu mmoja....umepitia mengi Aspirin acha tu ujinywee zako kvant kuupa mwili pole [emoji16]
SaanaaaUkweli ni kwamba Demiss alikuwa anachangamsha upande wa Chit chat
Nilipata ajali simu ikapotea nakumbuka nilikaa mwaka sikuingia JF kurudi ikawa mtiahani pasward sikumbuki ndipo nikaja na Nuzulati sina ninaye mjua nje ya JfHii kali... kumbe kweli mimi fala sana.
Sasa kwanini ulibadili? Au kuna mtu alikutenda?
Kibaya zaidi mama mzazi unamwambia sina hela afu huku unatuma miamala kwa mchuchu mmoja kwenye namba tatu tofauti. Dhambi inaongezeka zaidi pale unapotuma na ya kutolea kabisa....Shida inakuja zaidi pale unapewa namba ya voda, tigo na airtel utume na tozo, kumbe miamala yote ni ya mtu mmoja....umepitia mengi Aspirin acha tu ujinywee zako kvant kuupa mwili pole 😁
Nilikuwa shabiki yake sanaSaanaaa