Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Twin [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu wacha maneno mingi hebu niflash ule mtandao unaopatikana tarakimu zisome fasta ukajipoze na cider kadhaa kwanza
Babuuu njoo kule maeneo bas, unajua unanipa ahueni, naanza kuhis joto linapungua ujue? [emoji23][emoji23]
 
Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..

Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.

Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..

Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu

Nacheka sanaa..

[emoji16][emoji16][emoji16]

Mambo ya Pm yabaki pm [emoji2957]
 
Shida mwanaume anaona hio ndo njia pekee ya kumkomoa mwanamke..!! Ukijidai Queen na watu wanakujua wanakushusha tu japo sio Poa kabisaaa...
Wangekomaa na I’d zao hizohizo hakuna kubadilisha
 
Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..

Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.

Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..

Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu

Nacheka sanaa..

[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida inakuja zaidi pale unapewa namba ya voda, tigo na airtel utume na tozo, kumbe miamala yote ni ya mtu mmoja....umepitia mengi Aspirin acha tu ujinywee zako kvant kuupa mwili pole 😁
Kibaya zaidi mama mzazi unamwambia sina hela afu huku unatuma miamala kwa mchuchu mmoja kwenye namba tatu tofauti. Dhambi inaongezeka zaidi pale unapotuma na ya kutolea kabisa....

Mimi acha nirudi kundini kumbe JF imekuwa kama badoo
 
Huu Uzi km ule wa utata wa kifo cha Dr omary Ali juma

Aiseee,,
Kuna kundi la wanawake cjui ni wanaume ila I'd za kike. Wanatetea wanatikwa jasho na walio rest in peace, siku za mwizi 40 walio warestisha mda huu wataonekana wabaya (kulingana na nguvu kubwa ya matapeli waliopo) ila baadae itasaidia kuokoa vijana wetu hasa magraduates, itasaidia mwenye forums kujitetea kuwa hii forums si ya kitapeli km hizi za BADOO n.k pia itasaidia tuiamini JF milele, acheni kuwaponda wanao warestisha matapeli otherwise Itakuwa na wewe ni tapeli.

Ili JF iwe salama pamoja na mmiliki acheni mambo yawe wazi.
 
Back
Top Bottom