Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Aliteka mwanaume wa JF na kumficha kama wewe.Duh ya Demiss alifanyaje humu kwani boss wangu?
Humu kumbe sio?
Duh ya Demiss alifanyaje humu kwani boss wangu?
Humu kumbe sio?
Mbona hafichagi? Akiwa lodge alikuwa anatupia picha humu hadi namba ya chumba.eti pua kubwa kweri kwerii [emoji1787][emoji1787][emoji1787], oya wahuni walimla pia au??
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Laaaa laaaaah, Dah huyo jamaa kafanya vibaya sana aiseee, Yan humu wenye upendo ni wachache sana aisee.Kuna mdau juu kashaeleza , kuna jamaa ndiyo alikuwa anafanya naye matusi sasa sijui walizinguana nini akaja kuanikwa humu na picha zake na info zake yeye ni nani...uzi ulikuwa na page za kutosha.
Humu ndani siyo.
Mkuu, nimeku PM tulale...😋Jamani humu ndani mtu akilala na mtu si ameamua tu, sasa watu inawauma nini [emoji38]
Mkuu, nimeku PM tulale...[emoji39]
Upo sawa mwali, hata mimi sikutangazi..🤗Hapana mkuu mimi si hao wakina demiss ambao wanajitangaza pindi wanapolala na wanaume humu ndani.
Ila pua ndo ishu?Namba nane ya kwenye saa zile wanatumia marefa kwenye sub EPL [emoji28][emoji28]
Njoo nikupeWangari Maathai namuelewa ingekua tunajua future kwamba kuna siku atapotea hivi ningemuomba namba za simu.
hahaha ulete na mrejeshoUpo sawa mwali, hata mimi sikutangazi..🤗
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
NaombaNjoo nikupe
Wanaume wenzangu wengi siyo waaminifu wengi wadanganyifu ila ukiwa na mtu kama Mimi huwez kujutaJamani humu ndani mtu akilala na mtu si ameamua tu, sasa watu inawauma nini [emoji38]
ongezea na @manengeloWapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Inashangaza sana..Jamani humu ndani mtu akilala na mtu si ameamua tu, sasa watu inawauma nini [emoji38]
Ushimen shkamoo?Upo sawa mwali, hata mimi sikutangazi..🤗