Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mambo ni mengi siku hizi hatuitan ubaya huo ndio tunapitwaMno yaani.
Mimi wiki nzima hii nipo humu ila ajabu sijui chochote,hata sikuona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ni mengi siku hizi hatuitan ubaya huo ndio tunapitwaMno yaani.
Mimi wiki nzima hii nipo humu ila ajabu sijui chochote,hata sikuona.
Ahaaa ule uzi mrefu sana wa miaka mingiSijawahi kukuona kwenye uzi wa Sefika huu ubuyu unatokea kule kwenye uzi nikikutumia utakuwa huelewi🤨
Dah[emoji134]Mambo ni mengi siku hizi hatuitan ubaya huo ndio tunapitwa
Khaaaa!Unakumbuka ule uzi tukawa na mawardat tunasema umefika patamu ndio wamefuta?
Mi napitaga kwenye ule uzi wenu mara moja moja kimya kimya..nimeelewa kiduchu ila sio sana[emoji23]Aiseee!
Bora angalau umeelewa..
Nitapatapo koneksheni maana nipo nashangaa tu hapa na macho yangu.
Mdogo wangu unauliza kwa huruma jamani [emoji23][emoji23][emoji23]Dah[emoji134]
Mimi najiuliza sipati majibu,,selfika mbona nipo.
Mimi niliyepo kila siku ndio sielewi chochote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi napitaga kwenye ule uzi wenu mara moja moja kimya kimya..nimeelewa kiduchu ila sio sana[emoji23]
Dah afadhali Unitoe kwenye mataa[emoji1787]Mdogo wangu unauliza kwa huruma jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nije kukupa hint kama niko sahihi
😂😂 dj waleteeee wenye shida ya Demiss.Mwacheni Chamdeko apumue lohView attachment 2017338
Ana kifua ameizingggggg!![emoji23][emoji23] Tyutyu zile ngumu ngumu mnaapenda wenyewe!!![emoji23][emoji23][emoji23]Mwacheni Chamdeko apumue lohView attachment 2017338
[emoji23][emoji23] dj waleteeee wenye shida ya Demiss.
😂😂😂msalimie sana Demiss
[emoji23][emoji23] dj waleteeee wenye shida ya Demiss.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna maana kabisa.... sichezi tena na wewe
Masimango yamezidi nimeanza kutupia moja mojaAna kifua ameizingggggg!![emoji23][emoji23] Tyutyu zile ngumu ngumu mnaapenda wenyewe!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Anakusoma hapa tulipo[emoji23][emoji23][emoji23]msalimie sana Demiss
Mleteeee mleteeeee!!! Afu Mbona mzuri jamani chocolate color fulani tamuu[emoji39][emoji39]!!!! Ebu ngoja nitie maji nywele zangu miye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!Masimango yamezidi nimeanza kutupia moja moja