Hatajitokeza hata mmoja [emoji23]Naomba niweke dau Mshana Jr ....Dadaz njooni Pm mwenye kuprove hiki anakisema mwamba Leo atapata kitita...sitanii Warembo ushahidi unahitajika tafadhali....@Muzine Evelyn Salt ..free money awaiting for u
Huyo demis baby wake aliyekuwa ana msifia ndio alimu expose kwa I'd yake nyingine baada ya kutoka na wengine nilisikitika sanaShoo yataka moyo wa chuma !!jus imagine anaweka sura yako na mambo yako hadharani mkwee...wee acha tu best yaani usiombe ukutwe na bwana Pepsi!!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nyoko zako[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishamla mshana, naomba hiyo hela
Weka ushahidi pm unaipata pesa kabla jua halijazamaNilishamla mshana, naomba hiyo hela
kalumbu
Weka ushahidi pm unaipata pesa kabla jua halijazama
Hahahahahahahaha [emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Twin hapana asee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Dina loh hata wewe..[emoji23]Mim ni shahidi kabisa niliwasindikizae hotel
Mpe tu hela yake aisee
Hakuwa mzuri kama jina lake lilivyo sound....Ila Demiss aliniuma kuondoka. Nilikuwa napenda stories zake wala hakuwa na shida na mtu, harakati zake uko na watu hazinihusu mradi hakuwa anaumiza watu. Alipoondoka nilipunguza kusoma MMU
Mwandiko wake unafanana na wa dada (... la kipekee)
Nkamu naomba unihadithie na mimi kilichokuwepo kuhusu hii stori mpya.
Abhakamu hatuachanagi kwenye mataa[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji23]pole kaka...kulana kimasihara kunaleta taaaabuuu!!!Nashangaa mbona uzi wangu hausongi kule kumbe Mmekuja kusutana na kuvuana ngup huku[emoji852][emoji852][emoji852]...!! Hakuna mahusiano ya Jf yanayoishaga salama yani lazima MWANAMKE ATADHALILISHWA TU.
Hata mim ushanikula kwan siri ππ½ππ½Dina loh hata wewe..[emoji23]
Ajikwezae hushushwaHata nyie mnajipaisha tu mbona, na zile mazaga za supermarket ππ
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Amini mkuu.. Wachache ndo wanazinguaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji23]pole kaka...kulana kimasihara kunaleta taaaabuuu!!!
Sio wote wapuuzi baadhi ya wanaume waungwana sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Acha maskhara kwenye utani ujue Dina..[emoji23]Hata mim ushanikula kwan siri [emoji1436][emoji1436]
Nakutegemea kalumbu mweeNkamu ngoja nipo Vicoba[emoji23][emoji23]
Wajinga huongea sana waerevu husikiliza sanaSaint Anne, kuna wakati mtu inabidi u lay low. Kikisemwa kile upo, hiki unajua, kingine ulikuwepo...yaani mtu unasima hadi unajiuliza huyu kiumbe mbona ni omnipotent, hata sir God hamfikii kwa info na mambo anayofanya hapa duniani [emoji23][emoji23].
Kuna siku nilimwambia mtu mmoja, hem punguza kidogo basi, mbona it's like unajua kila kitu, nikaambulia tysi, Ila ukweli katika jamii tujifunze kusikiliza kidogo, tuongee na kusikiliza pia.
Sijamsema mtu.
Kule kwetu Rafiki.Siwezi kabisa nawe wajua. Upo huku kwetu au kule kwetu?
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Nimetoka shamba narudi nakuta nyuzi ndeeefuuu!!.Kwahiyo bado mnaendelea na ubuyu? Mmekunywa chai? Hamfui?
[emoji23][emoji23][emoji23]