Nilikuwa nawapikia wajukuu😀😀😀Bana umetuacha
Kucheka kwa mstuko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Na Arusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na Mbagala
Nacheka kwa mshtuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada wa watu alijua atakaa wiki nzima ila jamaa alibadili maamuzi, maana hakutarajia kukutana na mwanamke akiwa katika muonekano ule.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Yan unacheka alafu unashtuka mbona nipo mkoa tajwa? Ila unakumbuka hujawahi import 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kucheka kwa mstuko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
😂😂😂😂😂🤣🤣 wana mambo
Nilipuuza baada ya yule member mwenye kipara kumnanga member aliyemkula wakati ye mwenyewe hata kwa Top 50 hatoboi.
Nilimsikitikia member wa watu aloooh humu ila
😂😂😂😂Dada wa watu alijua atakaa wiki nzima ila jamaa alibadili maamuzi, maana hakutarajia kukutana na mwanamke akiwa katika muonekano ule.
Ule uzi ingebidi usindikikinzwe na picha ya huyo Muanzisha uzi tumuone ana fananaje kiumbo na kisuraDada wa watu alijua atakaa wiki nzima ila jamaa alibadili maamuzi, maana hakutarajia kukutana na mwanamke akiwa katika muonekano ule.
Ile siku nilipata picha raia wanakuwaga wamepatwa na kitu huko nje sasa naona ile nayo ni namna ya kupunguza makasiriko.😂😂😂😂😂
Ila mimi kuacha ile kitu hapana hata kama ina sura kama muonekano wa masikio lazma ipelekewe moto hakuna kuacha K 😂😂😂😂😂😂
Naomba hiyo picha pm nimuone huyo member mzuri mbali😬😬😀😀Ile siku nilipata picha raia wanakuwaga wamepatwa na kitu huko nje sasa naona ile nayo ni namna ya kupunguza makasiriko.
Naomba tupichaIle siku nilipata picha raia wanakuwaga wamepatwa na kitu huko nje sasa naona ile nayo ni namna ya kupunguza makasiriko.
🤣🤣🤣🤣 zimebaki kichwaniNaomba hiyo picha pm nimuone huyo member mzuri mbali😬😬😀😀
Yani nimecheka mpaka nimepaliwa..hivi ni nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]Dada wa watu alijua atakaa wiki nzima ila jamaa alibadili maamuzi, maana hakutarajia kukutana na mwanamke akiwa katika muonekano ule.
Uzi unazidi kuchafukaaa jamani😂😂😂Na Arusha 🤣🤣🤣 na Mbagala
Nacheka kwa mshtuko 🤣🤣🤣🤣🤣
Usafi wa papa ni muhimu sana missyrose, pia muhimu kujifunza kufinya kwa ndani hakika hutoona ukifunguliwa uzi humuYani nimecheka mpaka nimepaliwa..hivi ni nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Yaan unakuja kutupa presha jamani mweee mwanza tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku wadada wa humu nao wakichafukwa wakaanza kusema ya huko nje sijui nini kitatokea WalahyWhy msiwe na Uhusiano ambao ni win-win?? Uhusiano ambao mnaheshimiana, mtalindana Utu wenu ,heshima N.k hata kama Mmeachana ??? .
Embu fikiria...Demu umembembeleza weeeee kakukubalia...
Umekutana naye, umekula mzigoo.
Kesho unakuja na ID mpyaaaa mpyaaa ndugu yangu, unakuja kumzodoaa..
Baadae tena unardi kwenye ID yako, una mpaka matope ??
Inafikia wakati , Mnaamua kuleta maisha yamtu humu ndani..
[emoji117][emoji117][emoji117] POINT YANGU NIKWAMBA, MMEJUANA NAMTU, MMEKUA WAPENZI, MMEACHANA, LINDANENI, HAMNA HAJA YA KUTUMIA TAARIFA ZA MTU ULOZIJUA, KUMUANIKA ILI AONEKANE ASOFAA.