Demiss amepotelea wapi?

Sawa kaka tumekuelewaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
ila wanaume muwe na huruma kama Mimi nimeziponya mbunye za wadada wengi kwa kuamua kuwaacha badala ya kuwanyandua kumbukeni waume zao wajameni

Nb:usisahau kuvaa kondom😁😁
Hongera aisee, mimi huwa nakula nao dinner ila suala la kuwala hapana nawaheshimu kama wadogo zangu wengine kama wototo zangu ila kitu kimoja wadada wa humu pia hawajutulia leo atatoka na huyu kesho atatoka na huyu.

Kwa wote niliokutana nao kuna mmoja huyu kwanza ni smart sana huwezi mkuta hata kwenye nyuzi za mapenzi, she is very unique sikuwa na lengo la kumla ila kwa jinsi alivyo mzuri nikajikuta natoka nae namheshimu sana maana yuko smart na hutomuona akizozana humu wala kushinda humu masaa 24 yule hata kama haniombi hela huwa namtumia tu, popote M pokea heshima yangu.

Huyu tangu nianze kumfahamu yeye peke yake ndio alishizika akili zangu kwa 100%
 
Ipo tu siku vitaanikwa hapa..[emoji23]
 
Kusema wangekua wanasema toka zamani.

Tatizo linaanza kua, Tayari ameshaliwa .


Ataanzaje kusema ??
Cha mdeko akichafukwa alikua na guts .. kama mattako yamepauka anakusema ukimpandisha bodaboda wigi lake likapigwa upepo mpaka anafika limechambuka wakati yeye alitaka tax au uende kumfata na gari lako anakusema.. haha ukijifanya mwanaume mwanaume kweli kumbe njaa Kali tu anakupa mpaka!
Yani alikua anatuburudisha sana naule utani utani humohumo unapata ujumbe!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…