Demiss amepotelea wapi?

Bila shaka Mshana Jr ametuwakilisha vema!
 
Kubadili I’d sio suruhisho mimi sitokubali kubadili I’d kwa kuanzishiwa uzi nakomaa na hii liwalo naliwe 😬😬😬
 
Eti nipe mkono[emoji28][emoji28][emoji28]

Ujue napata shida sana kukuzoea kwenye huu ujio mpya?Maana ni umechangamka balaa.[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Shekhe yule yule,msikiti ule ule kanzu ndo mpyaa...!!![emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!!!washanijia mbona hukoo@depal

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23] Akisoma hapa atakuonea huruma
 
Kubadili I’d sio suruhisho mimi sitokubali kubadili I’d kwa kuanzishiwa uzi nakomaa na hii liwalo naliwe [emoji51][emoji51][emoji51]
Kuanzishiwa uzi ni swala moja na yanayoletwa baada ya uzi Kuanzishwa ni swala jingine kinachoamua ubadili I'd au ukaze ni hayo majadiliano[emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilimwambia we tukana tu ila usitegemee nitakimbia hii Id.

Sahivi mjamaa tunakwotiana fresh 'alibadili id sijui anajua hajulikani [emoji3]
Nani huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…