Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Hili ni la msingi sana, watu wawe na vifua vya kutunza siri. Mkikulana vungeni, mkishindwana basi yaishe jukwaju!

Ila jf ina wadada wazuri sio poa jamani!
Kuna visu km mzigua,dinazarde weeeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hao wanaosema wabaya wanawake wa humu sijui ht wamewatoa wapi...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji125][emoji16][emoji16][emoji16]kaja jibu unalo we kausha tuu...mgeni gani anajua choo kilipo,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]!!!!!mpk sahani za wali anakomba

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante, nilitaka uhakika. Mambo gani unachitchat na mtu anaonekana kukuelewa we humuelewi.
 
Wangari ni Mwanamke mzuri, HAPA SIWEZI KUWEKA UNAFIKI.


Ni mwanamke Mwenye mwonekano mzuri, Umbo lake nzuri, Sura nzuri ,Rangi nzuri .


Ni aina ya wanawake ambao akipita Mbele yako lazima akuturn on !!!.


Shida Yake, nihizo ambazo zimeelezwa sana Kwa nyuzi .


BUT DEEP DOWN FROM MY HEART, SHE IS SO BEAUTIFUL. SEXY AND HOT , SHE IS LIKE AN ANGEL ALIYEPOTEA TOKA MBINGUNI.
Aisee man inaonekana umeitembeza bakora humu jukwaani barabara [emoji23][emoji3][emoji3577]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Mungu anilinde Mimi mwenzenu kaahh!!yaani nawaza wa kunilipua Mimi kati ya wale ni nani?!![emoji2][emoji2][emoji2]siongezi watu tena wanaonijua wanatosha naogopa balaa...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo nanyi hamu Angalii watu wa kuwavulia nguo. Unategemea nini under 30 yrs halafu mnawachuna kiroho mbaya. Ataitangaza k yako na pengine umemuachia hadi anaingiza ulimi, kumbe mwenzako anaichora tu
Siwaelewagi asee mnachukuliaje swala la kulana humu? 😂😂

Mie bana sioni cha ajabu as long as mlikuwa'tulikuwa wenyewe huko loji... Ila sasa kuna hawa mandezi wakila mtu humu ni anahisi Kama kashinda biko la M50, ni atafurukuta mpaka apate pa kulisemea.
 
Back
Top Bottom