Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

I'd yako unatakiwa uijue peke yako ili uwe huru!
kuna memba alisha wahi kusema yy kama anataka kuweka password ili aingie jf anahakikisha hata mbu hayupo mgongoni mwake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kuwa anaogopa nini kiasi hicho jamani?
 
Acha uongo naa ujanja bhana, hebu ni boost mjukuu wako, ntateketea ujue? [emoji23][emoji23]
Nilikuomba ule mtandao unaopatikana tangu juzi tarakimu zisome naona kimya mpaka kesho .. Haya hebu changamka
 
Ndo hvyo wengine washenzi tu!akikujua anataka akuletee ujinga..ishantokea Mimi hii!akawa anatishia kuleta picha zangu humu nkamuambia ,Mimi sitakua wa kwanza kudhalilika yataisha tu!!we Fanya unachohisi nafsi yako itakupa furaha nikamblok Jf baasi maisha yanaenda..
Ila sitaki tena ukaribu wake!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mlifanyana nini mpaka akutishie hivyo?
 
Nyie wanawake kwan mna shida ?? Hata hamna shida.

Shida iko upande wapili

Yaan MTU kula mbususu ya MwanaJF ,anaona kala mbususu ya Sayari ya Mars ,kiasi kwamba , atawashwa washwa weeee, atafute lakuja nalo ,ili mradi aonekane naye kala MZIGO humu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatzo nyie wanajisi papuchi ni tofauti
lol koo linawasha friji haligandishi
 
Mkwe tafadhali mkwe[emoji3][emoji3][emoji3]tena anatokea huko hukoo ulikokua waishi mwanzo...baba yule Mungu ambariki sana najua anasoma hapa ajue tu namheshinu na namuombea dua Mungu ampe zaidi ya alivyo navyo!!M wewe ni dhahabu aseeh!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi yameisha mkwe.
 
Sio kwamba nilikua na utoto.. Sema nilikua MD5!!

Mbishiiiii , ila nn, ukweli nikwamba Nanyie hampendi ukweli , kile kipindi alikua mnachukia sana mada zangu.


Nakumbuka nilifunguaga Uzi, kwenye ule Uzi nikasema " Hawa ndio wanawake naowakubali JF"


Aiseeee mlikuja mkanishambuliaaaaa balaaa


Kuna ule Uzi, nilikuaga natuma vipi cha vya katuni, naandika najina... Huyu ni Kapeace... Huyu ni Jjes ,huyu nani...


Maninaaa ,mkaja mkauvalia njugu ule Uzi, mlinipondaaaa vibayaaaa ,ndo hizo hizo wiki ,Mbityaza akaliamsha.

Mim nilikuwa nacheka mno basi ulikuwa unatuchamba
Nimekudharau sanaaaa[emoji23][emoji23]
 
Kuna visu km mzigua,dinazarde weeeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hao wanaosema wabaya wanawake wa humu sijui ht wamewatoa wapi...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Shoga angu mim kawaida tu [emoji23][emoji23][emoji23] kuna kina mzigua,shunie,witty ni balaaaa
 
Siwaelewagi asee mnachukuliaje swala la kulana humu? [emoji23][emoji23]

Mie bana sioni cha ajabu as long as mlikuwa'tulikuwa wenyewe huko loji... Ila sasa kuna hawa mandezi wakila mtu humu ni anahisi Kama kashinda biko la M50, ni atafurukuta mpaka apate pa kulisemea.

Mafriji hayagandishi
 
Mimi ndo nashangaa, Pengine madem naopiga huku nje, wapo HUMU JF ila hatujuani.


Kumkuta Demu humu, nakumpata nakumla... Watu wanaona ni impossible things, basi akila, weeeeeeeeeee niblaaaa mpaka mtaa wa sabaa



reymage anasema "Nile jikatae" .


Shaaaaaaaaaaaa
Eehh!kula mzigo jikatae ukiuelewa tuendeleze libeneke...kwani shi.ngapi...?!!ila unavokuja kunisanua humu sio poa wala nini..!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..

Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.

Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..

Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu

Nacheka sanaa..

[emoji16][emoji16][emoji16]
Na huyo mdada ni mimi.
 
Back
Top Bottom