Demiss amepotelea wapi?

I'd yako unatakiwa uijue peke yako ili uwe huru!
kuna memba alisha wahi kusema yy kama anataka kuweka password ili aingie jf anahakikisha hata mbu hayupo mgongoni mwake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kuwa anaogopa nini kiasi hicho jamani?
 
Acha uongo naa ujanja bhana, hebu ni boost mjukuu wako, ntateketea ujue? [emoji23][emoji23]
Nilikuomba ule mtandao unaopatikana tangu juzi tarakimu zisome naona kimya mpaka kesho .. Haya hebu changamka
 
Mlifanyana nini mpaka akutishie hivyo?
 
Nyie wanawake kwan mna shida ?? Hata hamna shida.

Shida iko upande wapili

Yaan MTU kula mbususu ya MwanaJF ,anaona kala mbususu ya Sayari ya Mars ,kiasi kwamba , atawashwa washwa weeee, atafute lakuja nalo ,ili mradi aonekane naye kala MZIGO humu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatzo nyie wanajisi papuchi ni tofauti
lol koo linawasha friji haligandishi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi yameisha mkwe.
 

Mim nilikuwa nacheka mno basi ulikuwa unatuchamba
Nimekudharau sanaaaa[emoji23][emoji23]
 
wadada naona mnamtetea mdangaji mwenzenu nayeye amejifichatu atokee ilimpeleke mashambulizi musianikwe ilando dawayenu
 
Kuna visu km mzigua,dinazarde weeeee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hao wanaosema wabaya wanawake wa humu sijui ht wamewatoa wapi...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Shoga angu mim kawaida tu [emoji23][emoji23][emoji23] kuna kina mzigua,shunie,witty ni balaaaa
 

Mafriji hayagandishi
 
Eehh!kula mzigo jikatae ukiuelewa tuendeleze libeneke...kwani shi.ngapi...?!!ila unavokuja kunisanua humu sio poa wala nini..!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Na huyo mdada ni mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…