Demiss amepotelea wapi?

Umpelekee moto? We jamaa muache mywangu me nakujua vizuri πŸ˜€
 
Hahahahahah agaaaaaaa !!!


We live everyday Dear....


Ukininyima weee...mwingine ananipa huku [emoji23][emoji23][emoji23]

Dinazarde yuko sahihi, kuweka hapa hizo text haujafanya uungwana kiongozi.
Haya mambo hauwezi kujua, mtu anaweza kufikiri kumbe iko siku hata yeye text zake zinaweza anikwa hapa jukwaani.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwanzo umeanza vzr mwishoni sasa we nyau umeharibu[emoji38][emoji38][emoji38]!we shemeji yangu kwa manengelo mi nakaaje sasa...!!!halafu sasa we mdogo wangu kabisa!!
We itakua mshikaji wangu wa faida tu ila kuvuana nooo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Dinazarde yuko sahihi, kuweka hapa hizo text haujafanya uungwana kiongozi.
Haya mambo hauwezi kujua, mtu anaweza kufikiri kumbe iko siku hata yeye text zake zinaweza anikwa hapa jukwaani.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tunataniana tu
Ila ujumbe huu umfikie
 
Ulimuonjesha akataka tena na tena
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilimpa,nkampa tena na tena mi nkasepa...hee...bwana wee akawa anafosi sasa...mi nkadinda bwana weee..nilijuta Mimi mpk kutishiwa nyau mwenzio niliikimbia jf kwa mda[emoji1][emoji1]nlikua naingia kwa machale balaa !Sema jamaa mpole sana alikua anantingisha tu[emoji4][emoji6][emoji4][emoji4][emoji6]akakuta nimefyumu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Umeona eeh? Yaani hiyo siku wambea wenzangu mbona nitawaweka busy kusoma tu comments maana ni bandika bandua. Wikiend itakuwa fupi balaa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakujua ukiingia uwanjan unateteaga tu tkuige kabisa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ile sijui nifanye irudi mwenzenu sometimes nasema acha isepe tu nshakubali matokeo!@Shunie alinijua fastaaa!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tunataniana tu
Ila ujumbe huu umfikie

Naelwa, naamini ataufanyia kazi. Ndio maana hata mimi sijapatackigugumizi cha kumwambia kwa sababu ana ubinadam.

Ila mjitayarishe faili langu likiwekwa hapa msinitelekeze tafadhali. Mie sibadili ID wala nini ntakya nashiriki huko kwingine ila huo uzi kama siuoni. Hata mtu ani tag au kuni quote, napita kama sijaona.

Stress zingine zituumize kichwa, na JF napo nikose raha? Hapana kabisa, hiyo siruhusu. Ndio maana mtu anaweza nitukana anavyotaka au akasema chochote asinipe shida.
 
Sura sio nafsi na kikulacho kinguoni mwako...!tuombe Mungu tu! Humu mashosti washalipuanga humu yaani nilichoka that day yaani hakuna formula

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Sura sio nafsi na kikulacho kinguoni mwako...!tuombe Mungu tu! Humu mashosti washalipuanga humu yaani nilichoka that day yaani hakuna formula

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wee unajua unaanza kunitishaa mwaya, [emoji23][emoji23][emoji23] ila humu ni hatareeh, hakupo salama hata yaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…