Demiss amepotelea wapi?

Demis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
[emoji28]dah she was my favourite
 
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Acha bas[emoji28]
 
Kuna mdau juu kashaeleza , kuna jamaa ndiyo alikuwa anafanya naye matusi sasa sijui walizinguana nini akaja kuanikwa humu na picha zake na info zake yeye ni nani...uzi ulikuwa na page za kutosha.

Humu ndani siyo.
Link
 
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
We jamaaa hadi nimekuogopa
 
Demiss amekula ajira Ukraine hivi karibuni,yupo Frontline,hivyo mumuache kwanza akisha ikomboa ukraine atakuja kusheherekea mafanikio pamoja na sisi .
 
Kuna mwamba alikuwa anaita Viatu vya samaki sijui kapotelea wapi huyu jamaa, comments zake zilikuwa zinanichekesha Sana.
Viatu vya samaki pamoja na Demiss popote mlipo mfanye kama mnajikuna tuwaone tafadhali,mmemisiwa huku jukwaani.
 
Kuna siku nilikutana nae Mlimani City
 
Mizimu iko vizuri 😂😄🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…