FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sikitiko lako wewe, mimi linanihusu nini? hunijui sikujui.Nasikitika unapojongea motoni mdo mdo!!?
umbea tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikitiko lako wewe, mimi linanihusu nini? hunijui sikujui.Nasikitika unapojongea motoni mdo mdo!!?
[emoji28]dah she was my favouriteDemis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
Acha bas[emoji28]Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
LinkKuna mdau juu kashaeleza , kuna jamaa ndiyo alikuwa anafanya naye matusi sasa sijui walizinguana nini akaja kuanikwa humu na picha zake na info zake yeye ni nani...uzi ulikuwa na page za kutosha.
Humu ndani siyo.
Moja ya watu Ninaowakubal Umepotea manNgoja nijaribu kuona what's wrong na PM yangu. Ila nna raha saana kukuona hapa.
Nikija Mwanza January. Lazma tutoke out fo party rafiki yangu wa dhati [emoji322][emoji16]
Nakukubali sana pia mkuu. Majukumu yamekuwa mengi tu ndio maana hatukutani humu.Moja ya watu Ninaowakubal Umepotea man
We jamaaa hadi nimekuogopaAlijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Demiss amekula ajira Ukraine hivi karibuni,yupo Frontline,hivyo mumuache kwanza akisha ikomboa ukraine atakuja kusheherekea mafanikio pamoja na sisi .Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Kuna siku nilikutana nae Mlimani CityWapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Kwanini mnapenda kufukua nyuzi za watu?
Nimejikuta narudia kusoma komenti zote za waja hapa🤣🤣Kwanini mnapenda kufukua nyuzi za watu?
Liuzi la 2021 mtu unalifukua, unataka nini?Nimejikuta narudia kusoma komenti zote za waja hapa🤣🤣
Mh familia yetu iombewe😂🤔Mkuu, nimeku PM tulale...😋
Mizimu iko vizuri 😂😄🤣Mtani makaburi yangu yanalindwa na mizimu la sivyo ingekuwa leo hii tunaongea mengine.. Kati ya watu waliowindwa sana JF waangushiwe jumba bovu mimi ni mmojawapo[emoji23]
Kuna baadhi ya matukio huwa nikiyakumbuka[emoji848][emoji2827]Nabaki kusema Mungu asante..![emoji1545][emoji1545][emoji1545]