Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.

Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.

Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.


Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.


Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k
Hivi ndio yule wa mshana Jr?
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari,maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery,sisi wa simu original tunapeta tu.


Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje?Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.


Wengine waliopotea humu ni;
1.massai dada
2.mama facebook
n.k
Wameolewa
 
Back
Top Bottom