Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

I agree mkuu JF mods wanafurahia mitifuano ya kijinga, wana uwezo kabisa JF iwe safe kwa wanaotumia huu mtandao, yaani imekua kama desturi vile hatujui baada ya mtifuano huu na ID hii ya kike kupotea, mdada gani atakua next victim? VERY SAD....
Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).

You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.

Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
 
Tunaanza lini sasa kuvimba 😂
Vere vere soon, ila kwa sharti la kufunga PM watu wasituzoee wakajua maisha yetu outside JF....
Tusije pigwa na kitu kizito na sie🤣🤣🤣
 
Saint Anne, kuna wakati mtu inabidi u lay low. Kikisemwa kile upo, hiki unajua, kingine ulikuwepo...yaani mtu unasima hadi unajiuliza huyu kiumbe mbona ni omnipotent, hata sir God hamfikii kwa info na mambo anayofanya hapa duniani [emoji23][emoji23].

Kuna siku nilimwambia mtu mmoja, hem punguza kidogo basi, mbona it's like unajua kila kitu, nikaambulia tysi, Ila ukweli katika jamii tujifunze kusikiliza kidogo, tuongee na kusikiliza pia.

Sijamsema mtu.
Siyo dhambi kuwa na exposure katika mambo mengi.
Kuna watu Mungu amewapa hiyo neema ya kujua mambo mengi.
 
Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).

You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.

Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Chalii ake hizi pigo sijakuzoea nazo. Plssss
 
Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).

You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.

Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Unapewa bakuli kubwa la mtori, nyama ziko mbali, hadi unashiba hujakutana na finyango hata moja. Ila kwa vile kesho ni J1, tuendelee tu!
 
Vere vere soon, ila kwa sharti la kufunga PM watu wasituzoee wakajua maisha yetu outside JF....
Tusije pigwa na kitu kizito na sie🤣🤣🤣
🤣🤣 tunapigwa fresh vikipoa tunarudi, kwani kufungua email za chap chap sh ngapi
 
Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).

You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.

Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Mwenzangu hii message yangu au ni ya mtu? Kama ni ya kwangu pole wewe...weka unachotaka kuweka ,wafurahishe watu ila ID ya Rebeca itabaki hivi hivi,ukidhania mimi ni mjanja ama napretend kuwa mjanja,hunipunguzii lolote,sipo hapa for validation reasons...utajiju!
 
Mwenzangu hii message yangu au ni ya mtu? Kama ni ya kwangu pole wewe...weka unachotaka kuweka ,wafurahishe watu ila ID ya Rebeca itabaki hivi hivi,ukidhania mimi ni mjanja ama napretend kuwa mjanja,hunipunguzii lolote,sipo hapa for validation reasons...utajiju!
Unarukaruka sio? Hujui ulichofanya after stories of change awards?
 
Back
Top Bottom