Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Mkuu unaweza kunisogezea uzi uliomuumbua huyu mdada maana nilikuwa namkubali sana.
 
Kazi 'kweri kweri' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


witnessj nimemuhisi member aliyepotea na kujichamba hapa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona godoro lilivyolowana lakini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
mm pamoja na sura chafu ila siogopi chochote
 
Back
Top Bottom