DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Una uhakika mkuu ?Aliyekugegeda kwenye hicho chumba ndio kakuanika..
Ile kesho ndio leo. Vipi ameshaleta uzi mwingine ?Nachoshangaa ni mtu simu yake lakin watu wanataka kukupangia cha kupost [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ndio maana kiduku lilo anawachanaga sana watu [emoji13][emoji13][emoji13]
Kesho tu tena Demiss ataleta uzi mwingine sijui watakasirika mpaka lini [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kila mtu kajiunga kivyake iweje kupangiana
Hi
Unaendeleaje sasa hivi ..... [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Asubuhi ya Leo NMB wamecheka hivyo naanzaje maisha kama hivi.
Jamani mm sitaki stress kuanzia Leo mm ni Team Kiduku Lilo
Atakayenionea wivu huyo mchawi maana hapendi mwanamke nijitume niwe na maendeleo.View attachment 1188840View attachment 1188842View attachment 1188843View attachment 1188844
Ile kesho ndio leo. Vipi ameshaleta uzi mwingine ?
Sawa mkuuAtaleta tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu
ngoja tuendelee kula ukwaju wa Azam huku tukisubiri uzi wa Demiss
Akitumia Id ya zamani kutatokea nini ?Akija humu naacha kutumia Jamii Forum labda aje na ID nyingine
Kesho na sisi tukale bata kama hutojaliSawa siku akipost tu nitakuita yupo anakula bataa hajamaliza
Atakuwa anakanda ungo wakeSawa siku akipost tu nitakuita yupo anakula bataa hajamaliza
Kesho na sisi tukale bata kama hutojali
Nitakukumbusha kauli yako mkuuAkija humu naacha kutumia Jamii Forum labda aje na ID nyingine
Demiss mdogo wanguTena na evidence
Mimi hutaki kunifahamu? mbona niko na roho nzuri kabisa, bila kusahau mimi ni mtu wa watu.Sidanganyiki kabisa tunaofahamiana inatoshaa
Ni pm ka picha mkuu mimi sina connection humuMimi hutaki kunifahamu? mbona niko na roho nzuri kabisa, bila kusahau mimi ni mtu wa watu.
Demis ana umbo la funguo/simba/au isha mashauzi...na nyonyo vile!Picha ya mwanamke mrembo eti wanasema Demiss.
Asante nimeipata mkuu! Kumbe ndo maana kakimbia Uzi wake baada ya kujulikana. Yaani huyu hakuna chochote ni demu wa kawaida sana
Nimeipata picha ya demiss ila nisingekuwa na connection hapa mjini nisingeipata
Duh aise hiyo pic mbona mi sijaionaMthibitishie Mkuu...