Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Namuonea sana huruma huyo baharia ambaye ana take home ya 475k anavyupunwa..[emoji23][emoji23]am kidding
Mkuu Sky Eclat hauna binti unioze kijana wako, madini uliyo nayo ningependa yahamie kwenye familia yangu
Kodi hailipwi kila mweziKumbuka kodi ya nyumba , mtungi was gas, mchele, unga, maharage, sukari n.k
Kumbuka kodi ya nyumba , mtungi was gas, mchele, unga, maharage, sukari n.k
Hiyo supu umeshaimaliza eenh
Atakuwa ana undugu na lemutuzUnaishi hotelini??