Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

nikwamwambia homeboy kweli hichi kifaa hakukupa sifa zangu kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hajaniambia nilikuwa naongea nae hapa namwambia kumbe ulionyesha picha uko amecheka sana na simu imekatika alipo hakuna network
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hajaniambia nilikuwa naongea nae hapa namwambia kumbe ulionyesha picha uko amecheka sana na simu imekatika alipo hakuna network
sema sikuizi amekuwa na project kibao mara aanze kutupiga picha tumetabasamu mara tumenuna sijui anataka kutuuza
 
sema sikuizi amekuwa na project kibao mara aanze kutupiga picha tumetabasamu mara tumenuna sijui anataka kutuuza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa nguvu bamkwe
 
Back
Top Bottom