carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Asante mamyBeef Lasagna kuja huku
UsijaliAsante mamy
Huyo Joseverest asije akateguka bure
Nimefika kipenzi changu.Kichwa Kichafu ukuje huku kipenzi
Me nataka ya yule anaitwa naniii vileeee,hebu mtaje basi[emoji2][emoji2][emoji2]Demiss naomba picha ya mods naamini hutaniangusha.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]iyoo ya joseverest anakimbia kuwai siti.
Nani jirani yako[emoji23] [emoji23] [emoji23]Me nataka ya yule anaitwa naniii vileeee,hebu mtaje basi[emoji2][emoji2][emoji2]
Hapo ndio tutaona kipaji halisiNa mimi naisubiri kwa hamu
Zitengeneze kulingana na sifa zao humu jukwaani kwenye mijadala.Poah
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naomba ya Lizaboni hapa mchore ata umefumba macho
Bila kusahau na ya motochini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Dah! Unataka picha ya baby wangu!Zitengeneze kulingana na sifa zao humu jukwaani kwenye mijadala.
Naomba utupie ya Kapeace!
Anawahi sitiHuyo Joseverest asije akateguka bure
Jingalao, utaifakwanza, Troll JF,...Bila kusahau na ya motochini