Sasa sikia njoo huku mara moja,mambo yakusutana achana nao....Hahahha umeona eeeee.
Mie nitawakodishia kigoma cha uruguway
Wapi...Pm?Sasa sikia njoo huku mara moja,mambo yakusutana achana nao....
Thanks.......Hahaaa...pole aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeh!wananikeshesha hapa!mfyuu zao!!Mtajeni basi, kila mtu nitamtaja nitamtaja.
Mie mnamjua na blah blah kibao.
Mtajeni, kama anasutika asutwe.
Kwani sh ngap!!!
Au wanamuogopa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeh!wananikeshesha hapa!mfyuu zao!!
Wamtajee....tulale
Hahaaa!! Wanamuogopa itakuaAu wanamuogopa.
Watuletee sisi tukeshe nae usiku huu.
Na hivi hapa nilipo ni singo maza, basi hata wa kunibugudhi usiku huu hamna.
Ila pengine wametajiana Pm
Maana humu kuna mabingwa wa kutembeleana Pm.
Hapana ishu.Hahaaa!! Wanamuogopa itakua
Single mothers hawana wabebi wa kuwabebisha !!!
Wamtaje tumkeshee hapa!!
Hahaaa kukesha km koteeeeHapana ishu.
Twende kwenye uzi wa usiku wa manane
Ewaaaaa
Au wanamuogopa.
Watuletee sisi tukeshe nae usiku huu.
Na hivi hapa nilipo ni singo maza, basi hata wa kunibugudhi usiku huu hamna.
Ila pengine wametajiana Pm
Maana humu kuna mabingwa wa kutembeleana Pm.
KabisaaHahaaa kukesha km koteeee
Za kuambiwa changanya na zako mkuu.Huu uzi huu, ngoja nipige mafunda mawili nione kama bado nitatumia akili za kuambiwa au zangu.
Babu unatusubirisha aisee...
Mkuu kuna swali la Madame B hapa chini linasubiri jibu lako mkuu; unamwogopa huyo mtu?
nilishafunga mjadala baada ya kugundua mleta uzi ana umri wa mamanguHivi kosa la mleta uzi liko wapi hasa?
Ina maana siku hizi kuuliza ni ujinga?
Hivi kosa la mleta uzi liko wapi hasa?
Ina maana siku hizi kuuliza ni ujinga?
Za kuambiwa changanya na zako mkuu.
Ngoja tuendelee kusubiri
Ndo ujifunze kutowadharau usiowajua!nilishafunga mjadala baada ya kugundua mleta uzi ana umri wa mamangu
Wewe kazi yako nini haswa?Kuna hawa wadada Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat yaani kila nikitupa jicho humu Jf nawakuta wako Online.
Maswali yangu:
1. Hamna waume?
2. Mna stress?
3. Single mothers?
4. Widowers?
5. Mnaishi pamoja?
6. Mna bando za kuchezea?
7. Mnawekwa tu mjini (hamna majukumu)?
8. Mnataka kiki?
9. Jobless?
10. Mna share Jf?
11. Ni multiples I'D?
12. Mnajishaua tu tuwaone kuwa mko juu?
Yaani sijawahi ingia humu Jf nikakuta hakuna mada yoyote ambayo Demiss, Mzigua90 au Sky Eclat hawajatia maguu.
Nipeni nami mbinu mwanamke mwenzenu niweze damshi majukwaa yote.
Khaaa!!!!
kumpa mtu ukweli sio dharau ni heshima TNdo ujifunze kutowadharau usiowajua!