Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mchumba unanijua lakini ninavyojua kuhandle watu na maujinga yao. Hili limeisha hapa nachit chat tu. Basi akipita hapa akisoma roho yake kwatuuuuuuu kamuwekea Uzi mzigua
Sawa Mchumba.
Ngoja nielekee jukwaa la Liverpool huku nikisubiria game ya Man City.