Democrat yahofia kuangushwa uchaguzi wa kati wa muhula Marekani

Democrat yahofia kuangushwa uchaguzi wa kati wa muhula Marekani

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Wamarekani wanapiga kura leo kuwachagua wabunge na maseneta, katika uchaguzi wa katikati mwa muhula wa urais wa Joe Biden.

Katika uchaguzi wa leo, viti vyote 435 katika Baraza la Wawakilishi vinapiganiwa, huku kwenye Baraza la seneti, viti vilivyo kwenye kinyang'anyiro hiki vikiwa 35 kati ya 100 vilivyopo.

Uchunguzi wa maoni ya wapigakura unabashiri kuwa chama cha Democratic cha Rais Joe Biden yumkini kitapoteza udhibiti wa mabaraza yote mawili.

Ikiwa chama cha Republican kitashinda kama inavyotarajiwa, uongozi wa Biden utakabiliwa na changamoto kubwa kwa sababu mipango yake yote ya mageuzi itazuiliwa.

Matokeo ya uchaguzi huu pia yataamua ikiwa rais wa zamani, Donald Trump, atajitosa kuwania tena urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2024.

DW
 
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
Ila Trump asije gombea tena urais, awaachie Republicans wengine, yeye wala hakemei watawala wa kiimla hasa wa Afrika.
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
 
Wamarekani wanapiga kura leo kuwachagua wabunge na maseneta, katika uchaguzi wa katikati mwa muhula wa urais wa Joe Biden.

Katika uchaguzi wa leo, viti vyote 435 katika Baraza la Wawakilishi vinapiganiwa, huku kwenye Baraza la seneti, viti vilivyo kwenye kinyang'anyiro hiki vikiwa 35 kati ya 100 vilivyopo.

Uchunguzi wa maoni ya wapigakura unabashiri kuwa chama cha Democratic cha Rais Joe Biden yumkini kitapoteza udhibiti wa mabaraza yote mawili.

Ikiwa chama cha Republican kitashinda kama inavyotarajiwa, uongozi wa Biden utakabiliwa na changamoto kubwa kwa sababu mipango yake yote ya mageuzi itazuiliwa.

Matokeo ya uchaguzi huu pia yataamua ikiwa rais wa zamani, Donald Trump, atajitosa kuwania tena urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2024.

DW

Yule lazima adhoofike zaidi. Maana no one loves him. Aliiba kura ili Donald Trump atoke. Lkn issue ya Urusi inampeleka pabaya. Ajiandae kiakili.
 
Chama Cha democrats ni chama Cha watu dhaifu na wapumbaf na bila shaka watu wanazidi kuiona Hila Yao na kuwakataa kwa sababu wako wazi kwenye kuharibu asili na hawako katika kueneza hicho wanachodai demokrasia ila kueneza ushoga,,ubadili jinsia,,na mambo mengine yanayopendwa na wapungufu WA akili
 
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
Wewe umefanya nini katika nchi hii ili isiwe 'Shithole Country', ziro, nchi kila siku inatembeza bakuli halafu unataka kutuambia kitu gani. Bure kabisa.
 
Eti nchi ya Kidemokrasia! Wakati wanafanya uhuni huo huo unaofanywa na nchi ambazo utuhumu si za Kidemokrasia.
====
“Don’t leave your line, stay where you are. They say that the machines aren’t working, they say that they’re running out of paper in different locations throughout different states. There's a lot of bad things going on,” Trump said in a brief video message, adding “I know you don't want to be there as long as they’re going to try and force you. They want to delay you out of voting, and you cannot let them delay you out of voting.”
 
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
Yaani wewe changamoto zako za kiafrika unataka utatuliwe kwa msaada wa watu wa Marekani? Kama ndivyo upo hapa duniani kufanya nini? Kula, kulala na kwenda chooni? Acha upumbavu, mambo yako yatatue mwenyewe.
ww ni team Billion 10 ni ela ya mboga mboga kwan hatuwajui , Kweny kila nchi lzm uangalie utawala uatako kuja wenye maslai na ww sio ule weny kuangalia maslai yao tu
 
Wagombea Trump wameangukia pua huko 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221109-100921.png
    Screenshot_20221109-100921.png
    104.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221109-100514.png
    Screenshot_20221109-100514.png
    55.4 KB · Views: 3
Eti nchi ya Kidemokrasia! Wakati wanafanya uhuni huo huo unaofanywa na nchi ambazo utuhumu si za Kidemokrasia.
====
“Don’t leave your line, stay where you are. They say that the machines aren’t working, they say that they’re running out of paper in different locations throughout different states. There's a lot of bad things going on,” Trump said in a brief video message, adding “I know you don't want to be there as long as they’re going to try and force you. They want to delay you out of voting, and you cannot let them delay you out of voting.”
Maneno ya mfa maji huyo anatapatapa
 
Chama Cha democrats ni chama Cha watu dhaifu na wapumbaf na bila shaka watu wanazidi kuiona Hila Yao na kuwakataa kwa sababu wako wazi kwenye kuharibu asili na hawako katika kueneza hicho wanachodai demokrasia ila kueneza ushoga,,ubadili jinsia,,na mambo mengine yanayopendwa na wapungufu WA akili
Pole sana 😁😁.

Haya endelea kuugulia hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221109-100514.png
    Screenshot_20221109-100514.png
    55.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom