Demokrasia ilitukuka ndani ya CCM

Demokrasia ilitukuka ndani ya CCM

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
Unasemaaaa🏃
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
Hili neno mnalichezea sana siku hizi.
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
Ndiyo kijijini kwenu walivyokuhadithia?
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.

Mbona huoni CCM kung'ang'ania madaraka hata kwa wizi tokea 1961 Miaka 61 leo wamo tu, ni jambo lisilokubalika?
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
KINANA ANASEMA KUWA RAIS SAMIA ALIMPIGIA SIMU AKIMTAKA AWE MAKAWU WAKE NAYE AKAJIBU MIMI NI NANI HATA NIMKATALIE RAIS WANGU , HIYO NDIYO DEMOKRASIA?
 
Siasa ndivyo zilivyo...

Ni kama vile CCM ilivyokua madarakani toka enzi hizo mpaka leo...
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Demokrasia ya KUOGOPA katiba mpya Demokrasia ya kufanya Mikutano pekee yake
Demokrasia ya kuzuia wengine wasifanye Mikutano
Demokrasia ya kupiga Risasi Wapinzani
Demokrasia ya Kubambikizia Wapinzani Kesi
Demokrasia ya Kununua Wapinzani
Demokrasia ya Kuchafua Chaguzi
Demokrasia ya Kuwa na Wabunge Fake 19 Wasio na chama
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
Ulishawahi kuona uchaguzi wa mwenyekiti taifa wa CCM? Kama kulikuwa na huo uchaguzi tuambie wagombea walikuwa nani na Nani? Labda Kama unafikiri kwa kutumia Makalio kuona hiyo demokrasia iliyopo CCM.
 
Ulishawahi kuona uchaguzi wa mwenyekiti taifa wa CCM? Kama kulikuwa na huo uchaguzi tuambie wagombea walikuwa nani na Nani? Labda Kama unafikiri kwa kutumia Makalio kuona hiyo demokrasia iliyopo CCM.
Lipumba Ni Mwenyekit kwa muda gani Sasa?
 
Chama hiki Ni Alama ya demokrasia duniani. Fikiria CUF, Prof Lipumba (PhD) ni Mwenyekiti tokea 1999 (2022-1999=miaka 23 yumo tu). Mboe nae daah, mtihani kweli kweli! Demokrasia kwa vyama vya upinzani inabaki kwenye makaratasi tu.
Safi sana Kiongoz.
 
Back
Top Bottom