- Thread starter
- #21
Unajua ni kwa nini lilitupiliwa mbali. Kisheria kama madai hayana mashiko hutupiliwa mbali.Wewe hata ufahamu unachotetea ufahamu chochote kuhusu Marekani aliambiwa na nani? wakati wanasheria wake walepeleka kesi mahakamani ya wizi wa kura Jaji akatupilia mbali hiyo kesi. Bado povu linakutoka kuwa Marekani kuna demokrasia.😀