Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato nje ya siasa tofauti na Tanzania

Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato nje ya siasa tofauti na Tanzania

Mtu Kama Lissu hana kitu zaidi ya lile tumbo unategemea atafanya nini zaidi ya kuchukia wenye nacho?
Ukiwa mjinga utasema Lissu hana kitu.

Ukiwa na akili utasema Lissu ni tajiri mkubwa na utajiri wake upo Kwenye ubongo wake.

Hata akiacha siasa Leo Lissu atatengeneza mabilioni kwa kuandika vitabu na majalada mengine ya dunia.
Lissu atapewa kazi mara moja na vyombo vikuu vya dunia kwa Mfano wake wa mazingira ili awafanyie kazi.

Watanzania na ujinga wao wanafikiri utajiri ni kuhodhi mali nyingi za kuiba Kumbe utajiri sahihi ni elimu ya kweli iliyo kichwani inayohitajiwa na dunia.

Clinton alimaliza Urais akiwa na madeni sasa ni milionea. Obama na mkewe wamemaliza urais wakiwa hawana kitu, sasa ni mamilionea.

Unayesema Lissu ni maskini kweli wewe ni maskini wa akili😭😭😭
 
Ukiwa mjinga utasema Lissu hana kitu.

Ukiwa na akili utasema Lissu ni tajiri mkubwa na utajiri wake upo Kwenye ubongo wake.

Hata akiacha siasa Leo Lissu atatengeneza mabilioni kwa kuandika vitabu na majalada mengine ya dunia.
Lissu atapewa kazi mara moja na vyombo vikuu vya dunia kwa Mfano wake wa mazingira ili awafanyie kazi.

Watanzania na ujinga wao wanafikiri utajiri ni kuhodhi mali nyingi za kuiba Kumbe utajiri sahihi ni elimu ya kweli iliyo kichwani inayohitajiwa na dunia.

Clinton alimaliza Urais akiwa na madeni sasa ni milionea. Obama na mkewe wamemaliza urais wakiwa hawana kitu, sasa ni mamilionea.

Unayesema Lissu ni maskini kweli wewe ni maskini wa akili😭😭😭
Akili sake zimemsaidia nini Kama kashindwa kujinunulia gari anaomba omba Kama matonya??
 
Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato vya kutosha nje ya siasa tofauti na Tanzania

Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa

Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi

Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa

Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi
Ukweli.
 
Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato vya kutosha nje ya siasa tofauti na Tanzania

Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa

Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi

Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa

Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi
Kwa ufupi,siasa za marekani, na nchi za ulaya, mwanasiasa ni mtumishi wa umma aliyeapa kutoa huduma na endapo atakosea,na akigundua, huwajibika. Siasa za kiafrika ni za kulindana, kiongozi akifanya kosa, au kuvunja katiba hawajibiki na akikosolewa, mkosoaji huonekane kama mhaini. Sasa tujikite kutafuta katiba mpya itakayowapiga Pini viongozi wetu ili watutumikie.
 
Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato vya kutosha nje ya siasa tofauti na Tanzania

Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa

Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi

Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa

Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi

Ya Tanzania ni kubwa zaidi kuishinda ya Marekani ya Tanzania mgombea anakamata Begi limekaa kura feki zilizopigwa tayari, na hakuna mtanzania anafanya kitu, mwizi wa kura na wezi wa kura wanajulikana na wanajitangaza wameshinda kwa kishindo!!

Badili heading weka demokrasia ya Tz ni kubwa kuliko Marekani 😅😅🚴🚴
 
Ni sisi wenyewe hapa hapa JF huwa tunalalamika kuwaweka wafanya biashara kuwa kwenye nafasi za uongozi, tukisema wanatunga sera na sheria kwa manufaa ya biashara zao.
Wewe tena unalalamika wasio na kipato kuwa viongozi.

Hatueleweki..!!!!
Tajiri Anayeta ajira ndie apewe uongozi

Wakinufaika wananufaisha mamilioni

Sababu pia ni mlipa kodi tena mkubwa na wafanyakazi alioajiri pia wanalipa kodi mishahara yao

Anaajiri wafanyakazi familia zao zinatoka kimaisha wanapata pesa za kununua bidhaa ,biashara zinachangamka mitaani pia sababu mwajiriwa wao kapata mshahara .Na zenyewe zibalipa kodi

Hivyo mnyororo wa thamani wa ajira, kodi na biashara unaongezeka na quality ya maisha ya wananchi inaongezeka

Lakini ukiweka mtu mfano Lisu na Lema kwenye uongozi unaongeza thamani gani kwenye mnyororo wa ajira,kodi na biashara ? Ni hasara tu sababu wanapiga porojo tu
 
Ukiwa mjinga utasema Lissu hana kitu.

Ukiwa na akili utasema Lissu ni tajiri mkubwa na utajiri wake upo Kwenye ubongo wake.
Chadema kuendeshwa kinahitaji pesa kujiendesha sio ubongo wake unaozalisha maneno matupu hewa yasiyo na pesa

Hadi sasa huo ubongo wake umezalisha shilingi ngapi kuingiza kwenye akaunti za Chadema?

Chadema inataka Pesa sio ubongo
 
Akili sake zimemsaidia nini Kama kashindwa kujinunulia gari anaomba omba Kama matonya??
Akili yake ndio imemfanya awe Mwenyekiti wa Chadema. Hana muda wa kutafuta pesa Kwasasa ana muda wa kuwatumikia Watanzania.

Kibaya zaidi hata gari lake wajinga wamelipiga risasi.
 
Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato vya kutosha nje ya siasa tofauti na Tanzania

Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa

Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi

Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa

Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi
Hii ni pointi
 
Akili yake ndio imemfanya awe Mwenyekiti wa Chadema. Hana muda wa kutafuta pesa Kwasasa ana muda wa kuwatumikia Watanzania.

Kibaya zaidi hata gari lake wajinga wamelipiga risasi.
Sio akili ni ulaghai na siasa chafu za kudhalilisha wengine bila ushahidi

Siasa kama hizo huwa hazina future

Uchaguzi hata uitishwe leo ile karibu asilimia 49 waliomkataa Lisu hawatampa kura akigombea .Na hao asilimia 49 walichaguliwa hivyo wao na waliowachagua hawatampa kura Lisu wa ndani ya Chadema

Hivyo uchaguzi mkuu hata uitwe leo Lisu awe na uhakika asilimia 49 ya wanachama wote wa Chadema hawatampa kura sababu kaingia kihuni kwenye uenyekiti na hadhi ya Mbowe hata akipita mtaani

Mbowe alikuwa akipita popote mtaani lazima palipuke shangwe
 
Sio akili ni ulaghai na siasa chafu za kudhalilisha wengine bila ushahidi

Siasa kama hizo huwa hazina future

Uchaguzi hata uitishwe leo ile karibu asilimia 49 waliomkataa Lisu hawatampa kura akigombea .Na hao asilimia 49 walichaguliwa hivyo wao na waliowachagua hawatampa kura Lisu wa ndani ya Chadema

Hivyo uchaguzi mkuu hata uitwe leo Lisu awe na uhakika asilimia 49 ya wanachama wote wa Chadema hawatampa kura sababu kaingia kihuni kwenye uenyekiti na hadhi ya Mbowe hata akipita mtaani

Mbowe alikuwa akipita popote mtaani lazima palipuke shangwe
Huyo Lissu hats akitaka kuondoka leo na kutafuta kazi za juu za dunia anapata. Kazi za kulipwa dola zaidi ya laki mbili kwa mwaka.

Ila sasa hiyo akili yake kaamua kuitumia kuwakombia Watanzania waliolala kama wewe.

Unafikiri utajiri ni mali za kuiba. Kumbe utajiri ni kile ulichonacho kichwani.
 
Back
Top Bottom