Demokrasia na mila ni pacha

Demokrasia na mila ni pacha

Unazungumziaje huu utaratibu wa kupata viongozi kwa kupora chaguzi. Huu ndio utamaduni wetu?
Hii ndio level na mila yetu. Mila na desturi za jamii zetu huwa ni kupora kupota chako au kisichochako. Kuna watu wanapora ardhi za wazi, mifugo, milathi, viwanja, roba za mbao, nk. Kupora Huku kwenye chaguzi ni mwendelezo TU ya kile kinachotokea kwenye jamii ya mgombea. Mtu haoni haya kupora kura kwakuwa huwa wanapora na vitu vingine kwenye jamii yao. Demokrasia inafuata watu na sio watu wanafuata demokrasia.
 
Hii ndio level na mila yetu. Mila na desturi za jamii zetu huwa ni kupora kupota chako au kisichochako. Kuna watu wanapora ardhi za wazi, mifugo, milathi, viwanja, roba za mbao, nk. Kupora Huku kwenye chaguzi ni mwendelezo TU ya kile kinachotokea kwenye jamii ya mgombea. Mtu haoni haya kupora kura kwakuwa huwa wanapora na vitu vingine kwenye jamii yao. Demokrasia inafuata watu na sio watu wanafuata demokrasia.
Hizo ni Mila na desturi za wanyama, kwa binadamu ambaye sio mstaarabu ndio anaweza kujivunia haya. Kama haya ndio Mila na desturi zetu, iweje matusi muone ni shida wakati matusi ni kitu kidogo kwa hayo uliyotaja? Au umeongea Hadi unajichanganya?
 
Hizo ni Mila na desturi za wanyama, kwa binadamu ambaye sio mstaarabu ndio anaweza kujivunia haya. Kama haya ndio Mila na desturi zetu, iweje matusi muone ni shida wakati matusi ni kitu kidogo kwa hayo uliyotaja? Au umeongea Hadi unajichanganya?
Matusi sio mila yetu, huwezi kumtukana mtu mzima au mzazi usihukumiwe. Ukimsonya baba utapigwa hadi ufe. Mtu aliyekulia maeneo yenye mila ya sungusumgu hata akiwa kiongozi atafanya maamuzi
 
Matusi sio mila yetu, huwezi kumtukana mtu mzima au mzazi usihukumiwe. Ukimsonya baba utapigwa hadi ufe. Mtu aliyekulia maeneo yenye mila ya sungusumgu hata akiwa kiongozi atafanya maamuzi
Nazungumzia mwizi sizungumzii umri. Kwamba mtu mzima akiwa mwizi ataendelea kuheshimiwa bila kutukanwa?
 
Nazungumzia mwizi sizungumzii umri. Kwamba mtu mzima akiwa mwizi ataendelea kuheshimiwa bila kutukanwa?
Kutukana ni mwiko kwenye jamii zetu, kutukana ni kuhukumu mwenyewe kosa ulilofafanyiwa na mtu. Ndio maana kutukana mtu ni kosa la jinai pia kwenye Katiba na sheria zetu.

Demokrasia inaanzia nyumbani kwako mwenyewe. Demokrasia ya kutenga viti maalumu kwa wanawake inatokana na mila na desturi zetu kuhusu wanawake. Jamii zetu haziwathamini wanawake, zinawaneza wanawake, zinawadhulumu wanawake na kuwaona watu dhaifu. Mbona vyama havikatai viti maalumu kwenye chaguzi zao? Nani kakwambia mwanamke hawezi? Ila Mila zetu zinamuona mwanamke hawezi, siku Mila ikibadilika na demokrasia itabadilika pia.
 
Kutukana ni mwiko kwenye jamii zetu, kutukana ni kuhukumu mwenyewe kosa ulilofafanyiwa na mtu. Ndio maana kutukana mtu ni kosa la jinai pia kwenye Katiba na sheria zetu.

Demokrasia inaanzia nyumbani kwako mwenyewe. Demokrasia ya kutenga viti maalumu kwa wanawake inatokana na mila na desturi zetu kuhusu wanawake. Jamii zetu haziwathamini wanawake, zinawaneza wanawake, zinawadhulumu wanawake na kuwaona watu dhaifu. Mbona vyama havikatai viti maalumu kwenye chaguzi zao? Nani kakwambia mwanamke hawezi? Ila Mila zetu zinamuona mwanamke hawezi, siku Mila ikibadilika na demokrasia itabadilika pia.

Punguza utoto dogo.
 
Back
Top Bottom