democracy imesiginwa unataka sababu gani tena za hao wengine kuenguliwa?Ni kweli inaweza ikawa hivyo, lakini ningependa sana kujua sababu za kwa nini wagombea wengine walienguliwa. Ni kweli walikosa sifa za kugombea? au kuna kingine nyuma ya pazia. Lakini pamoja na hayo,kwa maoni yangu kuhusu wale wagombea walioenguliwa naona hakukua na serious candidate wa kum-challenge Karia. Wengi walienda kujaribu tu na kuongeza CV zao kiasi fulani.
Legacy ya mwendazakeHii ndio Tanzania, huwezi kuta hao wanaojiita wanaharakati wanaharakatia kitu kisichokuwa na maslahi ya kifedha kwao
Demokrasia ni pana sana, hao wanaharakati wanajua upana wake na wapo kutetea haki na misingi ya democracy hapa nchini isisiginwe
Wanaharakati wa chadema na mitandaoni wapo kimya as if hakuna kinachoendelea huko TFF.
Mko wapi ninyi watu wa twitter, Jf na chadema kupinga kwa nguvu haya yanayoendelea Tanzania?
Mko wapi msiandae petition kwenda FIFA ishushe rungu lake Tanzania?
Au sababu hakuna maslahi ya moja kwa moja kwenu?
Mkuu siasa za mpira ni tofauti kabisa na hizo ambazo wanafanya hao wanaharakati, nikumbushe Tu kuwa raisi wa FIFA aligombea mwenyewe, raisi wa CAF aligombea mwenyeweHii ndio Tanzania, huwezi kuta hao wanaojiita wanaharakati wanaharakatia kitu kisichokuwa na maslahi ya kifedha kwao
Demokrasia ni pana sana, hao wanaharakati wanajua upana wake na wapo kutetea haki na misingi ya democracy hapa nchini isisiginwe
Wanaharakati wa chadema na mitandaoni wapo kimya as if hakuna kinachoendelea huko TFF.
Mko wapi ninyi watu wa twitter, Jf na chadema kupinga kwa nguvu haya yanayoendelea Tanzania?
Mko wapi msiandae petition kwenda FIFA ishushe rungu lake Tanzania?
Au sababu hakuna maslahi ya moja kwa moja kwenu?
Huyu Msomali anajiona ana akili sana! Yaani ametumia mgongo wa ccm na mbumbumbu fc kujimilikisha TFF!Msomali kaiga kwa dikteta
Kawapa rushwaHuyu Msomali anajiona ana akili sana! Yaani ametumia mgongo wa ccm na mbumbumbu fc kujimilikisha TFF!