Hii ndio Tanzania, huwezi kuta hao wanaojiita wanaharakati wanaharakatia kitu kisichokuwa na maslahi ya kifedha kwao
Demokrasia ni pana sana, hao wanaharakati wanajua upana wake na wapo kutetea haki na misingi ya democracy hapa nchini isisiginwe
Wanaharakati wa chadema na mitandaoni wapo kimya as if hakuna kinachoendelea huko TFF.
Mko wapi ninyi watu wa twitter, Jf na chadema kupinga kwa nguvu haya yanayoendelea Tanzania?
Mko wapi msiandae petition kwenda FIFA ishushe rungu lake Tanzania?
Au sababu hakuna maslahi ya moja kwa moja kwenu?
Demokrasia ni pana sana, hao wanaharakati wanajua upana wake na wapo kutetea haki na misingi ya democracy hapa nchini isisiginwe
Wanaharakati wa chadema na mitandaoni wapo kimya as if hakuna kinachoendelea huko TFF.
Mko wapi ninyi watu wa twitter, Jf na chadema kupinga kwa nguvu haya yanayoendelea Tanzania?
Mko wapi msiandae petition kwenda FIFA ishushe rungu lake Tanzania?
Au sababu hakuna maslahi ya moja kwa moja kwenu?