DEMOKRASIA NYAKATI ZA UCHAGUZI INAVYOKIIMARISHA CHAMA CHA MAPINDUZI
Safari ya CCM 🚍
Simulizi hii ya 'Safari ya CCM' inatueleza namna michakato ya kidemokrasia nyakati za uchaguzi inavyokiimarisha Chama cha Mapinduzi (CCM), kwanzia zama za siasa za chama kimoja hadi ulipokuja mfumo wa vyama vingi.
'Safari ya CCM' inaenda mbali kwa kutueleza kuwa, toka enzi za uenyekiti wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi kumpata Mwenyekiti wa sasa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan, CCM imepita katika nyakati ngumu na nyepesi, na nyakati hizi ndizo zinazokiimarisha Chama cha Mapinduzi na kukifanya kizidi kushinda chaguzi mbalimali na kupendwa na wananchi walio wengi kila siku iitwayo leo.
Soma Pia:
Tufuatilie zaidi kupitia @safariya_ccm
#SafariYaUshindiNaMaendeleo
Safari ya CCM 🚍
Simulizi hii ya 'Safari ya CCM' inatueleza namna michakato ya kidemokrasia nyakati za uchaguzi inavyokiimarisha Chama cha Mapinduzi (CCM), kwanzia zama za siasa za chama kimoja hadi ulipokuja mfumo wa vyama vingi.
'Safari ya CCM' inaenda mbali kwa kutueleza kuwa, toka enzi za uenyekiti wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi kumpata Mwenyekiti wa sasa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan, CCM imepita katika nyakati ngumu na nyepesi, na nyakati hizi ndizo zinazokiimarisha Chama cha Mapinduzi na kukifanya kizidi kushinda chaguzi mbalimali na kupendwa na wananchi walio wengi kila siku iitwayo leo.
Soma Pia:
- CCM Yatoa Wito wa Viongozi Waadilifu Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- CCM Itaendelea kubaki madarakani
Tufuatilie zaidi kupitia @safariya_ccm
#SafariYaUshindiNaMaendeleo