Demokrasia ya Magharibi na Muktadha Wetu

Sisi timetafasiri maendeleo ni stend za mabasi,masoko,madaraja, mitaro and the like hata Kama wastani wa kipato Cha mtanzania ni shilingi milioni mbili kwa mwaka bado tumeendelea sana as long as tuna taa za barabarani Kila mkoa
Hili sidhani kama ni sahihi
 
Kuna haja kubwa ya kujifunza kutoka kwenye nchi hizo
 
Definition ya demokrasia tunayotumia imekuwa imported,hatujawahi kuwa na definition ya demokrasia iliyoundwa Africa ndiyo maana inakinzana sana na tamaduni zetu.....tumeshachelewa kutengeza chetu
 
Definition ya demokrasia tunayotumia imekuwa imported,hatujawahi kuwa na definition ya demokrasia iliyoundwa Africa ndiyo maana inakinzana sana na tamaduni zetu.....tumeshachelewa kutengeza chetu
Bado hatujachelewa. Kelele zote hizi n kwasababu tunalazimisha kufanya Kama magharibi wafanyavyo
 
Bado hatujachelewa. Kelele zote hizi n kwasababu tunalazimisha kufanya Kama magharibi wafanyavyo
Uko sahihi, ningumu kwasasa.... Mtu anavyoona Trump anavyotukanwa hadharani analeta kama ilivyo na kusahau huku ni Africa
 
"Kuogopwa ni sifa na ada ya kiongozi dikteta"!-Mwalimu Nyerere!

Sasa mleta mada unaendekeza tumuogope Magufuli,kati yako na Nyerere nani yuko sahihi?Maana siku hizi mkikosolewa kwa kuambiwa ukweli mnaita matusi!
 
Wanataka kusodomalize, eti ndo demokrasia
 
Kuelekea maadhimisho ya miaka 21 ya kifo cha baba wa taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere, upi ulikuwa mtazamo wake Kuhusu demokrasia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…